Mwanawalwa
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 1,014
- 301
Hii kauli huwa inaifanya niwe nakumbuka usemi wa jamaa yangu mmoja ambaye huwa anadai anaenda kumsalimia mchumbake wakati anadai kila siku huwa wanasalimiana kwa simu!
Usiwe na permanent demu chapisha chapisha chapa ilaleeeee!
wewe usione soo..baadala ya kuwa na relationship wewe kuwa na locationships tuu.
jamani leo naomba msaada juu ya hili. Mimi ni kijana wa kiume kwa sasa nipo dar ila najipanga kwenda sehemu fulani. Tatitizo langu ni kuwa siwezi kudumu na wanawake mara zote napokua mbali nao. Mihangaiko ya maisha hainiruhusu kukaa sehemu moja kwa muda mrefu. Tangu mwaka 2004 mpaka leo nimeishi tanga, iringa, lindi, dodoma, dar es salaam na sasa niko mbioni kwenda sehemu nyingine. Sasa nifanyeje na siipend hali hii?
Mkuu ni kwamba wewe labda hapo serious na hao wapenzi wako unapokuwa nao mbali.
Mimi binafsi nimekuwa nikiishi mbali na mpenzi wangu kwa muda mrefu,about 4 yrs,lkn nilikuwa commited kwake yaani
nilikuwa na malengo naye..mi nlikuwa masomoni na yeye pia alikuwa masomoni lkn baadae mi nikaanza kazi mbali na alipokuwa. Naye pia alihitimu na kuanza kazi mkoa mwngne mbali na nlipokuwa.
Baadae tukafunga ndoa na akanifata nilipo.
Ila ktk mafanikio hayo kuna vitu vikuu vilivyosababisha yote
kufanikiwa
-:Mawasiliano yasiyo katika
-:Kutembeleana mara kwa mara
-:Uaminifu
-:Malengo kwa mwenzi wako na mwisho ni
-:Mapenzi ya dhati.
Ukizingatia hayo mkuu utafanikiwa katika mapenzi yako ya mbali..Ni kanuni nilizotumia mimi mkuu.
jamani leo naomba msaada juu ya hili. Mimi ni kijana wa kiume kwa sasa nipo dar ila najipanga kwenda sehemu fulani. Tatitizo langu ni kuwa siwezi kudumu na wanawake mara zote napokua mbali nao. Mihangaiko ya maisha hainiruhusu kukaa sehemu moja kwa muda mrefu. Tangu mwaka 2004 mpaka leo nimeishi tanga, iringa, lindi, dodoma, dar es salaam na sasa niko mbioni kwenda sehemu nyingine. Sasa nifanyeje na siipend hali hii?
jamani leo naomba msaada juu ya hili. Mimi ni kijana wa kiume kwa sasa nipo dar ila najipanga kwenda sehemu fulani. Tatitizo langu ni kuwa siwezi kudumu na wanawake mara zote napokua mbali nao. Mihangaiko ya maisha hainiruhusu kukaa sehemu moja kwa muda mrefu. Tangu mwaka 2004 mpaka leo nimeishi tanga, iringa, lindi, dodoma, dar es salaam na sasa niko mbioni kwenda sehemu nyingine. Sasa nifanyeje na siipend hali hii?
Ila ktk mafanikio hayo kuna vitu vikuu vilivyosababisha yote
kufanikiwa
-:Mawasiliano yasiyo katika
-:Kutembeleana mara kwa mara
-:Uaminifu
-:Malengo kwa mwenzi wako na mwisho ni
-:Mapenzi ya dhati.
Ukizingatia hayo mkuu utafanikiwa katika mapenzi yako ya mbali..Ni kanuni nilizotumia mimi mkuu.
magonjwa mengi utamuua mwenzio.
Mkuu ni kwamba wewe labda hapo serious na hao wapenzi wako unapokuwa nao mbali.
Mimi binafsi nimekuwa nikiishi mbali na mpenzi wangu kwa muda mrefu,about 4 yrs,lkn nilikuwa commited kwake yaani
nilikuwa na malengo naye..mi nlikuwa masomoni na yeye pia alikuwa masomoni lkn baadae mi nikaanza kazi mbali na alipokuwa. Naye pia alihitimu na kuanza kazi mkoa mwngne mbali na nlipokuwa.
Baadae tukafunga ndoa na akanifata nilipo.
Ila ktk mafanikio hayo kuna vitu vikuu vilivyosababisha yote
kufanikiwa
-:Mawasiliano yasiyo katika
-:Kutembeleana mara kwa mara
-:Uaminifu
-:Malengo kwa mwenzi wako na mwisho ni
-:Mapenzi ya dhati.
Ukizingatia hayo mkuu utafanikiwa katika mapenzi yako ya mbali..Ni kanuni nilizotumia mimi mkuu.
jamani leo naomba msaada juu ya hili. Mimi ni kijana wa kiume kwa sasa nipo dar ila najipanga kwenda sehemu fulani. Tatitizo langu ni kuwa siwezi kudumu na wanawake mara zote napokua mbali nao. Mihangaiko ya maisha hainiruhusu kukaa sehemu moja kwa muda mrefu. Tangu mwaka 2004 mpaka leo nimeishi tanga, iringa, lindi, dodoma, dar es salaam na sasa niko mbioni kwenda sehemu nyingine. Sasa nifanyeje na siipend hali hii?
Mkuu ni kwamba wewe labda hapo serious na hao wapenzi wako unapokuwa nao mbali.
Mimi binafsi nimekuwa nikiishi mbali na mpenzi wangu kwa muda mrefu,about 4 yrs,lkn nilikuwa commited kwake yaani
nilikuwa na malengo naye..mi nlikuwa masomoni na yeye pia alikuwa masomoni lkn baadae mi nikaanza kazi mbali na alipokuwa. Naye pia alihitimu na kuanza kazi mkoa mwngne mbali na nlipokuwa.
Baadae tukafunga ndoa na akanifata nilipo.
Ila ktk mafanikio hayo kuna vitu vikuu vilivyosababisha yote
kufanikiwa
-:Mawasiliano yasiyo katika
-:Kutembeleana mara kwa mara
-:Uaminifu
-:Malengo kwa mwenzi wako na mwisho ni
-:Mapenzi ya dhati.
Ukizingatia hayo mkuu utafanikiwa katika mapenzi yako ya mbali..Ni kanuni nilizotumia mimi mkuu.
wee doubel K tulia bana magonjwa yapo lakini utayanasa kama wewe unaendekeza mambo ya kujidanganya kuwa eti ataji save for u while u away....sex is addictive ujue ukisepa mwenzio atatafuta wakumpa raha. sasa bora utumie condom na kamatia pale ulipo
Mzabzab wewe sasa si bora aoe tu. kuna kujisahau kila siku na condom mmmmmmmm sidhani.
Tafuta ambaye utakuwa unasafiri naye