wapalepale JF-Expert Member Joined Mar 21, 2011 Posts 259 Reaction score 58 Jun 13, 2011 #1 Kuku jogoo, anamkimbiza Kuku jike huku akiwaza 'Nikimkosa nitazuga nafanya mazoezi ila nikimpata nampa vitatu vya faster faster!' Kuku jike anamuona jogoo anakuja anawaza 'Ngoja nijifanye nakimbia mdogomdogo asije akaniona malaya ila akifika tu namtengea!'
Kuku jogoo, anamkimbiza Kuku jike huku akiwaza 'Nikimkosa nitazuga nafanya mazoezi ila nikimpata nampa vitatu vya faster faster!' Kuku jike anamuona jogoo anakuja anawaza 'Ngoja nijifanye nakimbia mdogomdogo asije akaniona malaya ila akifika tu namtengea!'
Fayoo Member Joined Dec 21, 2010 Posts 16 Reaction score 2 Jun 13, 2011 #2 hahaahaha, na bata wanawazaje?
Lutala JF-Expert Member Joined Jun 17, 2010 Posts 848 Reaction score 104 Jun 13, 2011 #3 kwi kwi kwi teh teh teh
wapalepale JF-Expert Member Joined Mar 21, 2011 Posts 259 Reaction score 58 Jun 13, 2011 Thread starter #4 Fayoo said: hahaahaha, na bata wanawazaje? Click to expand... ya bata me sijui bana labda wengine watujuze
Fayoo said: hahaahaha, na bata wanawazaje? Click to expand... ya bata me sijui bana labda wengine watujuze
The Boss JF-Expert Member Joined Aug 18, 2009 Posts 49,320 Reaction score 117,611 Jun 13, 2011 #5 lol...............................
Jaguar JF-Expert Member Joined Mar 6, 2011 Posts 3,440 Reaction score 1,029 Jun 13, 2011 #6 Mi bado sielewi,hivi ina maana kuku jike hapendelei yale mambo mpaka akimwona jogoo lazima akimbie kama anataka chinjwa?
Mi bado sielewi,hivi ina maana kuku jike hapendelei yale mambo mpaka akimwona jogoo lazima akimbie kama anataka chinjwa?
Ulimakafu JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 31,701 Reaction score 13,671 Jun 13, 2011 #7 UIlitokea wapi hii?
Papa Mopao JF-Expert Member Joined Oct 7, 2009 Posts 4,157 Reaction score 2,663 Jun 13, 2011 #8 Ulimakafu said: UIlitokea wapi hii? Click to expand... Ilitokea Tandale ndani ndani kabisa huyko!
wapalepale JF-Expert Member Joined Mar 21, 2011 Posts 259 Reaction score 58 Jun 13, 2011 Thread starter #9 papa mopao said: ilitokea tandale ndani ndani kabisa huyko! Click to expand... inatokea sehemu yoyote ambayo kuku wapo huru kutoka nje na kutembea kitaani
papa mopao said: ilitokea tandale ndani ndani kabisa huyko! Click to expand... inatokea sehemu yoyote ambayo kuku wapo huru kutoka nje na kutembea kitaani
Mentor JF-Expert Member Joined Oct 14, 2008 Posts 20,334 Reaction score 23,940 Jun 13, 2011 #10 Jaguar said: Mi bado sielewi,hivi ina maana kuku jike hapendelei yale mambo mpaka akimwona jogoo lazima akimbie kama anataka chinjwa? Click to expand... Jiulize kwa nini dada zetu wanaletaga shobo wakitokewa then utapata jibu la kuku!
Jaguar said: Mi bado sielewi,hivi ina maana kuku jike hapendelei yale mambo mpaka akimwona jogoo lazima akimbie kama anataka chinjwa? Click to expand... Jiulize kwa nini dada zetu wanaletaga shobo wakitokewa then utapata jibu la kuku!
Tajy JF-Expert Member Joined Apr 9, 2011 Posts 298 Reaction score 24 Jun 13, 2011 #11 teteheeeeeeeeeeeeeeeeee.Ningelikuwa jogoo kuku wngenikoma
MUREFU JF-Expert Member Joined Oct 1, 2010 Posts 1,331 Reaction score 353 Jun 13, 2011 #12 kwel we mfunga kuku wa kienyej mm ninajua kula kuku na mayai yake wewe unajua hadi anawaza nini duh?
Mtazamaji JF-Expert Member Joined Feb 29, 2008 Posts 5,937 Reaction score 1,444 Jun 13, 2011 #13 Mbona hawa wa kizungu wanaachia ku bila kukimbizana. teh teh teh teh Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Jaguar JF-Expert Member Joined Mar 6, 2011 Posts 3,440 Reaction score 1,029 Jun 13, 2011 #14 MUREFU said: kwel we mfunga kuku wa kienyej mm ninajua kula kuku na mayai yake wewe unajua hadi anawaza nini duh? Click to expand... Tena mkurya wa kitunda!
MUREFU said: kwel we mfunga kuku wa kienyej mm ninajua kula kuku na mayai yake wewe unajua hadi anawaza nini duh? Click to expand... Tena mkurya wa kitunda!
MUREFU JF-Expert Member Joined Oct 1, 2010 Posts 1,331 Reaction score 353 Jun 13, 2011 #15 Jaguar said: Tena mkurya wa kitunda! Click to expand... ha,ha,ha,ha,ha,ha,haaaa...ah! Kwel
Jaguar JF-Expert Member Joined Mar 6, 2011 Posts 3,440 Reaction score 1,029 Jun 13, 2011 #16 Mentor said: Jiulize kwa nini dada zetu wanaletaga shobo wakitokewa then utapata jibu la kuku! Click to expand... Akhsante mkuu kwa mfano hai!
Mentor said: Jiulize kwa nini dada zetu wanaletaga shobo wakitokewa then utapata jibu la kuku! Click to expand... Akhsante mkuu kwa mfano hai!