Anthony Threedeyea
JF-Expert Member
- May 29, 2013
- 471
- 47
Kuna watu wanawahudumia wanawake utadhani hawana ndugu au wamerogwa inafikia mahali mpaka unashangaa mbaya zaidi unakuta njemba inalipa fees kwa mwanamke wakati makids wa sister ake yupo mtaani mwisho wasiku wakitibuana ndo imetoka hivo...
WAKUU TUWE WASTAHARABU ASEE USITOE PESA OVYO SIO JAMBO JEMA...
WAKUU TUWE WASTAHARABU ASEE USITOE PESA OVYO SIO JAMBO JEMA...