Mapenzi ya kisasa hayooo!

Mapenzi ya kisasa hayooo!

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
43,037
Reaction score
34,741
74839_293799227401625_1965719126_n.jpg


YUPI MUOWAJI NA YUPI ANAYE OLEWA HAPO?
 
Mkuu MM


Haya makubwa sana nadhani muoaji ni
huyo mwenye suti nyeusi.
 
Natamani ningeelewa unachomaanisha, lakini siwezi kutumia akili yako hivyo let me leave.
 
Ni nini kiashiria cha Uislaam hapo we Mgalatia !?

mgalatia ba-ba-ako!

kofia ya bwana harusi, nguo ya bi harusi ina nakshi nakshi za kiislam,

sasa sijui hao mbuzi ni waislam, au bwana na bi harusi wamevaa vinyago vya mbuzi kama vile taratibu za kiislam!
 
Hehe hata wanaigeria wanakua wanavaa kofia wakati hata si waislam na hiyo nguo biarus ni nakshi ipi inaashiria uislam hem jitoe tongo ww uangalie vzri..thn uongee tena


Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
mgalatia ba-ba-ako!

kofia ya bwana harusi, nguo ya bi harusi ina nakshi nakshi za kiislam,

sasa sijui hao mbuzi ni waislam, au bwana na bi harusi wamevaa vinyago vya mbuzi kama vile taratibu za kiislam!

We Mgalatia nakshi nakshi za Kiislaam wewe unazijuaje ? ..........hiyo kofia ni ile ya Papa wa kule Vaticani !
 
mgalatia ba-ba-ako!

kofia ya bwana harusi, nguo ya bi harusi ina nakshi nakshi za kiislam,

sasa sijui hao mbuzi ni waislam, au bwana na bi harusi wamevaa vinyago vya mbuzi kama vile taratibu za kiislam!
labda ungesema nguo za kiarabu
 
Back
Top Bottom