Mkuu!Lazima Nipiganie K Yangu,Siwezi Nikaiacha Kilelemama Namna Hii!
Mapenzi yana art yake, chakula kina sayansi yake, unapoona anakubania ameshakuona wewe mchizi poli nenda kozi mbona wapo madaktari wa mahusiano na mapenzi? ukichelewa ataondoka jumla.
Bado Ndugu Yangu!!
tehetehe wot goes around come around,kumbe nanyi msipojaliwa inawaumaga,hakuna kitu napenda kwenye hii dunia kama kuona mwanume analalmika kama si kulia kwa kutendwa,[/Q
daauuuuhh..nashindwa nianzie wapi hapa..ila tuache masihara aisee hakuna kitu kigumu kama kuachwa na mwanamke unayempenda..aiseeee..!!usiombe hayo maumivu yake..suprise.
Mkuu! UPT Ndo Kitu Gani?
Ahsante!