Bollo Yang
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 440
- 50
- Thread starter
- #21
WOS nakubaliana na wewe 100% hii dunia ni ya ICT....
nimeshaona mahusiano mengi yaliyotokana na mtandao na yakazaa ndoa tena ndoa za heshima wala hakuna tatizo.
ulimwengu huu watu hatuna hata muda wa kwenda kushiriki michiriku na midundiko basi tutakuwa hatupati wenza...........
hiyo issue umei-frame vizuri thanks
WOS kuwa makini huyu jamaa