Mapenzi ya facebook!

WOS nakubaliana na wewe 100% hii dunia ni ya ICT....

nimeshaona mahusiano mengi yaliyotokana na mtandao na yakazaa ndoa tena ndoa za heshima wala hakuna tatizo.

ulimwengu huu watu hatuna hata muda wa kwenda kushiriki michiriku na midundiko basi tutakuwa hatupati wenza...........

hiyo issue umei-frame vizuri thanks

WOS kuwa makini huyu jamaa
 
HAJUI KUWA SASA NI DUNIA YA ICT LOL...
Anadhani bado watu wanakutana kisimani, kwenye kukata majani, kwenye ngoma, kwenye mchiriku.....endeleza
Labda tumsaidie ku frame vizuri ishu:
Wana JF, MKITAKA KUPATA MWANAMKE/MWANAUME AMBAYE ANAFAA , NI WAPI MAHALI PAZURI?........
da imebidi nicheke
 
Mara nyingi baadhi ya wanaume wa kitanzania (mimi mmojawapo) tunaamini kuwa mwanamke utayeanzisha mahusiano nae kupitia facebook ama mtandaoni kwa ujumla ni kicheche!!! Ingawa yeye (Mwanamke) anaweza kuwa very serious kwenye hiyo relationship...
Mnabishaaaaaaaa??

wewe kuwa wazi bana hayo mambo ya kawaida...umepata kimeo chako huko sasa unatafuta mwenye experience hapa unataka kujua huwa inakuwaje..... jidadavue acha ku-beat around the bush
 
HAJUI KUWA SASA NI DUNIA YA ICT LOL...
Anadhani bado watu wanakutana kisimani, kwenye kukata majani, kwenye ngoma, kwenye mchiriku.....endeleza
Labda tumsaidie ku frame vizuri ishu:
Wana JF, MKITAKA KUPATA MWANAMKE/MWANAUME AMBAYE ANAFAA , NI WAPI MAHALI PAZURI?........


mahali pazuri ni hapa jf nimepata hapahapa
 
Mara nyingi baadhi ya wanaume wa kitanzania (mimi mmojawapo) tunaamini kuwa mwanamke utayeanzisha mahusiano nae kupitia facebook ama mtandaoni kwa ujumla ni kicheche!!! Ingawa yeye (Mwanamke) anaweza kuwa very serious kwenye hiyo relationship...
Mnabishaaaaaaaa??

tunaamini kuwa mwanamke utayeanzisha mahusiano nae kupitia facebook ama mtandaoni kwa ujumla ni kicheche!!!

ngawa yeye (Mwanamke) anaweza kuwa very serious kwenye hiyo relationship...

haya maswali yako utata mtupu kwanza unasema ni vicheche, pili unasema ni very serious in relationship. alafu unahusisha wanaume wote watanzania labda niseme ww ni kicheche je unabishaaaaaaaaaaaaaaa??????????
 
Wana JF, MKITAKA KUPATA MWANAMKE/MWANAUME AMBAYE ANAFAA , NI WAPI MAHALI PAZURI?........

Sidhani kama kuna mahala pazuri pakukutania mwenzako/ mwanani wako. Watu hukutania sehemu yoyote ile. Na siku hizi hata mtandaoni. Cha muhimu ni kujua unataka nini na unataka mtu wa aina gani. Ni muhimu kuwa na viwango na vigezo.
 
wewe kuwa wazi bana hayo mambo ya kawaida...umepata kimeo chako huko sasa unatafuta mwenye experience hapa unataka kujua huwa inakuwaje..... jidadavue acha ku-beat around the bush
kweli mdau kwa ushauri wangu ndugu angali kwa macho ya mbali kimeo kwenye facebook anaonekana kwa kuifanyia analysis tuu profile ya inside out mdau
 
Mara nyingi baadhi ya wanaume wa kitanzania (mimi mmojawapo) tunaamini kuwa mwanamke utayeanzisha mahusiano nae kupitia facebook ama mtandaoni kwa ujumla ni kicheche!!! Ingawa yeye (Mwanamke) anaweza kuwa very serious kwenye hiyo relationship...
Mnabishaaaaaaaa??
thats is not true for all,may be for you, in short sio wote wana kuwa sirious some of them.so ma frnd avoid generalizations ok?
 
Sio lazima, eti kwa vile umemkuta kwenye mtandao wa JF au mingine basi ni vicheche,mbona wapo mabikira kibao tu humu? unajua, kama hujui humu kuna wale akinadada ambao face to face hawezi kuongea na wewe, ila angalau hapa atajaribu kujibu, au una reference (mifano ilio hai) kutetea hoja yako, mzee?tena tuongee taratibu wasije wakakusikia, na sisi je wanaume wa humu ni wahuni? maana penye malaya/kicheche sharti awepo na mhuni.Kwa mawazo yangu UMETELEZA kidooogo.
 
Sio lazima, eti kwa vile umemkuta kwenye mtandao wa JF au mingine basi ni vicheche,mbona wapo mabikira kibao tu humu? unajua, kama hujui humu kuna wale akinadada ambao face to face hawezi kuongea na wewe, ila angalau hapa atajaribu kujibu, au una reference (mifano ilio hai) kutetea hoja yako, mzee?tena tuongee taratibu wasije wakakusikia, na sisi je wanaume wa humu ni wahuni? maana penye malaya/kicheche sharti awepo na mhuni.Kwa mawazo yangu UMETELEZA kidooogo.

Umetoka AVU?
 
Mara nyingi baadhi ya wanaume wa kitanzania (mimi mmojawapo) tunaamini kuwa mwanamke utayeanzisha mahusiano nae kupitia facebook ama mtandaoni kwa ujumla ni kicheche!!! Ingawa yeye (Mwanamke) anaweza kuwa very serious kwenye hiyo relationship...
Mnabishaaaaaaaa??

[/I][/B] [/ QUOTE]

Inaonekana wewe mtu wa kijiweni sanaa. Toa mada watu wachangiee mambo ya mnabishaaa ni ya vijiweni na pia hatuko kwenye mchiriku hapa.
Tukija kwenye issue yako, inategemeana na mtu pia sio kweli wote wa kwenye net ni vicheche..
Unaweza kukikuta kicheche number one hakijui kutumia net..Navile vile kama kinadada ni vicheche na sisi wanaume inabidi tupate niki name zetu..VIPANGA
 
Dunia duara...
Mwenza wa kweli waweza kutana nae popote pale...!Ulevini, matibabuni,uriani, barbarani, matandaoni.....popote pale... muhimu ni utashi wako tu
 
Mara nyingi baadhi ya wanaume wa kitanzania (mimi mmojawapo) tunaamini kuwa mwanamke utayeanzisha mahusiano nae kupitia facebook ama mtandaoni kwa ujumla ni kicheche!!! Ingawa yeye (Mwanamke) anaweza kuwa very serious kwenye hiyo relationship...
Mnabishaaaaaaaa??

Kweli ukistaajabu ya Mussa utaona ya firauni. Wewe kama mwanaume uanzishe uhusiano wa Kimapenzi na mwanamke mtandaoni. Halafu at the end of the day unageuza kibao nakumuona Mwanamke huyo ni kicheche lakini wewe uliyemtongoza si kicheche!!!! :confused: Hahahahahahah Always remember that it takes two to tangle kama yeye ni kicheche na wewe pia ni kicheche.
 
Hiyo yote ni kukosa ujasiri wa kuongea na mtu face to face hawana lolote,yote anayochat kwenye face book ukimwambia ajaribu kufungua mdomo wake unaweza kushangaa anaanza kujikanyaga na kung'ata vidole.
 
Mara nyingi baadhi ya wanaume wa kitanzania (mimi mmojawapo) tunaamini kuwa mwanamke utayeanzisha mahusiano nae kupitia facebook ama mtandaoni kwa ujumla ni kicheche!!! Ingawa yeye (Mwanamke) anaweza kuwa very serious kwenye hiyo relationship...
Mnabishaaaaaaaa??

UMECHENKAA,..ngwe,ngwe ngwelellelelelele.!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom