Oh ndio mazuri eh!! OK thanks ngoja nimtafutie mana ngozi yake haivutii tena jamani!! Namwonea huruma sanamafuta ya nazi
weka picha kwa uchambuz zaidOh ndo mazur eh!! OK thanks ngoja nimtafutie mana ngozi yake haivutii tena jamani!! Namwonea huruma sana
Mwili wako ukisisimka hautoagi rashes au kama kuna baridi Kali ujavaa sweta vile vipele sasa ndio alivyo mimi binafsi sivipendi nataka vitokeweka picha kwa uchambuz zaid
mimi sijawahiMwili wako ukisisimka hautoag rashes au kama kuna baridi Kali ujavaa sweta vile vipele sasa ndo alivyo mi binafsi sivipendi nataka vitoke
Ha unaishi mkoa wa joto?mm sijawahi
hapanaHa unaishi mkoa wa joto?
Ok thank u!! Ye anasema amebadilisha mafuta meanx kuna mafuta alikuwa anapaka kaachaUngewatafuta wataalamu wa hayo mambo vinginevyo unaweza ukambadilishia mafuta kila kukicha hapa sio mahala sahihi saaana!! Kwa kupata msaada
Ni kama muundo huu sema kama vikubwaView attachment 1616740
Hahaha swali la kwanza lililonijia kichwani ni hilo tayari ana mpenzi na ashajua ana matatizo ya ngozi?We huwa hueleweki..mara umeolewa ukaachika mara umerudiana na mumeo,mara leo una mpenzi mpya, mara umezalishwa ukatelekezwa..kwa kifupi hujielewi yani.
Chige ni vipele t ivyo sijui ni ugonjwa gani ata mi nimechukua hii picha nimweleweshe huyu chizi aliyekatwa masikio na ubongo wake ulocheza kipindi yupo mdogo haelew namwambia ma baby katoka vi rashes uson kama vya baridi alibadilisha mafuta kakazana ukimwi ukimwi wakati yemwenyewe CD 4 zishamshuka hajielewi kazi kuchunguza CD 4 za wengine wakati zake anashindwa kuzi maintain zisishukeHiyo picha ya kushoto mbona kama fenesi?! Au macho yangu tu?!
Shida ya nyie kila mwenye magonjwa ya ngozi HIV mtu asipate infection kidogo HIV tubadilike! Ndo nyie mnaoogop kupima!! Kakitu kadogo tu kwenye mwili HIVHahaha swali la kwanza lililonijia kichwani ni hilo tayari ana mpenzi na ashajua ana matatizo ya ngozi?
Na huo ufara fara mie hoi huku 🤣🤣🤣Jf sihami
Ni mwendo wa kujiquote tu
Umesahau , hiyo ni google babu.....babu, .....babu yaani sina hali kwa kichekoNa huo ufara fara mie hoi huku