Mapenzi tuambizaneni

Mapenzi tuambizaneni

hivi unafanyaje kama ulikua na mpenzi wako alafu baada ya kuwa kwenye mahusiano mda mfupi tu na yee akadai penzi na wewe ujawahi kusex unaogopa sas akakuita mkutane gest ulipoenda ukagoma kusex ulipo ona unaumia na yeye akakulaumu ukafanya hivyo mala tatu kila mkikutana sasa huyo mwanaume akasema umpend wakati unampenda ila kusex tu ndo anahitaji kuvumilia afu yeye hataki na anakubwag a anh jamani wakati unampenda yani daa wadau ebu nisaidie iyo thread
Hold on ni mimi tu sijakuelewa au Kuna raia wengine amjamsima bi dada hapa!!?
 
Unaweza kugoma kufanya kwa sababu mpe sababu zako atakuelewa.
 
Back
Top Bottom