Mapenzi tuambizaneni

Mapenzi tuambizaneni

afu anaeleweka kama una nia ya kumsaidia


mtoto usipoteze bikira yako bure, iweke mpaka ndoa ,siku hizi ni zawadi adimu.
tafuta maisha,siku hizi mwanamke mwenye cash anaheshimika sana katika ndoa plus bikira,, haki amungu walahi,upewe nini
Asipoteze wakati kashakwambia "mala"" tatu....tatizo hapo n maumivu nenda kapime UTI ulete mrejesho...
 
hivi unafanyaje kama ulikua na mpenzi wako alafu baada ya kuwa kwenye mahusiano mda mfupi tu na yee akadai penzi na wewe ujawahi kusex unaogopa sas akakuita mkutane gest ulipoenda ukagoma kusex ulipo ona unaumia na yeye akakulaumu ukafanya hivyo mala tatu kila mkikutana sasa huyo mwanaume akasema umpend wakati unampenda ila kusex tu ndo anahitaji kuvumilia afu yeye hataki na anakubwag a anh jamani wakati unampenda yani daa wadau ebu nisaidie iyo thread
 
hivi unafanyaje kama ulikua na mpenzi wako alafu baada ya kuwa kwenye mahusiano mda mfupi tu na yee akadai penzi na wewe ujawahi kusex unaogopa sas akakuita mkutane gest ulipoenda ukagoma kusex ulipo ona unaumia na yeye akakulaumu ukafanya hivyo mala tatu kila mkikutana sasa huyo mwanaume akasema umpend wakati unampenda ila kusex tu ndo anahitaji kuvumilia afu yeye hataki na anakubwag a anh jamani wakati unampenda yani daa wadau ebu nisaidie iyo thread
We nawe kama sio kiazi unaingiaje ndani kwa mwaname?
Usingeenda kabisa jinga kubwa wewe.
Hakuna ukaribu kati ya mwanaume na mwanamke hilo tunalisema sana kwa sababu tunajua possible outcomes.
Next time ujifunze kutokana na makosa yako.
 
daaah huu mwandiko hata Muhitimu wa MEMKWA haandiki hivi
 
hivi unafanyaje kama ulikua na mpenzi wako alafu baada ya kuwa kwenye mahusiano mda mfupi tu na yee akadai penzi na wewe ujawahi kusex unaogopa sas akakuita mkutane gest ulipoenda ukagoma kusex ulipo ona unaumia na yeye akakulaumu ukafanya hivyo mala tatu kila mkikutana sasa huyo mwanaume akasema umpend wakati unampenda ila kusex tu ndo anahitaji kuvumilia afu yeye hataki na anakubwag a anh jamani wakati unampenda yani daa wadau ebu nisaidie iyo thread
Cijaambulia kitu kw kwel!
 
Back
Top Bottom