Mapenzi tuambizaneni

Mapenzi tuambizaneni

hivi unafanyaje kama ulikua na mpenzi wako alafu baada ya kuwa kwenye mahusiano mda mfupi tu na yee akadai penzi na wewe ujawahi kusex unaogopa sas akakuita mkutane gest ulipoenda ukagoma kusex ulipo ona unaumia na yeye akakulaumu ukafanya hivyo mala tatu kila mkikutana sasa huyo mwanaume akasema umpend wakati unampenda ila kusex tu ndo anahitaji kuvumilia afu yeye hataki na anakubwag a anh jamani wakati unampenda yani daa wadau ebu nisaidie iyo thread
Tafuta Darasa La Saba Wenzio Uwaambie Huu Ujinga
 
hivi unafanyaje kama ulikua na mpenzi wako alafu baada ya kuwa kwenye mahusiano mda mfupi tu na yee akadai penzi na wewe ujawahi kusex unaogopa sas akakuita mkutane gest ulipoenda ukagoma kusex ulipo ona unaumia na yeye akakulaumu ukafanya hivyo mala tatu kila mkikutana sasa huyo mwanaume akasema umpend wakati unampenda ila kusex tu ndo anahitaji kuvumilia afu yeye hataki na anakubwag a anh jamani wakati unampenda yani daa wadau ebu nisaidie iyo thread
Rudi shule kwanza mapenz waachie wakubwa zako
 
Fursa hiyo Wakuu,Enelisa anamaanisha yeye ni bikra!kila akikutana na jamaa hakuna kinachofanyika maana anaumia!

Wataalamu wa kutindua mnahitajika hapa!
 
Uko mkoa gani dada, tuanzie hapo ili tujur namna ya kukusaidie wewe na huyo unayedai kumpenda.
 
Huyo ndo hakupendi mwache ukimpa umekwisha habari yako
 
Sasa ushari gani unaoomba hapa? Mbona hujaeleweka?
 
we kitu hujui unachangiaje sasa
Nilivyoelewa, mwanaume hatak kukutana kimwili na mwanamke wake japo anampenda mwanamke akaona anazungushwa tu akaamua amuache na jamaabado anampenda na kafanya hivo mara tatu ila kafika had gest sjui lakini hawajakutana kimwili
 
Nilivyoelewa, mwanaume hatak kukutana kimwili na mwanamke wake japo anampenda mwanamke akaona anazungushwa tu akaamua amuache na jamaabado anampenda na kafanya hivo mara tatu ila kafika had gest sjui lakini hawajakutana kimwili
ntakuja kusoma badae babe aint ok
 
ni mtoto,anahitaji ushauli,.ni ametingwa ukimpuuzia ukajifanya humuelewi hukawii kusikia alijiua,fikiria, u had a chance to advice her lakini uliishia kujoke with her,ni dhambi umetenda

nimeona hekima kwa waliomshauri.mungu awabariki, ana matatizo ,mwandiko siyo tija
 
afu anaeleweka kama una nia ya kumsaidia


mtoto usipoteze bikira yako bure, iweke mpaka ndoa ,siku hizi ni zawadi adimu.
tafuta maisha,siku hizi mwanamke mwenye cash anaheshimika sana katika ndoa plus bikira,, haki amungu walahi,upewe nini
 
Ili kuchangia hii mada inaitaji ujilazimishe kuelewa ....ngoja nitake photo
 
Back
Top Bottom