Mapenzi tuambizaneni

Mapenzi tuambizaneni

Duuu nimepata taaabu sana kusoma na bado sijakuelewa.
 
Huu uandishi ni matokeo ya elimu bure inayotolewa na serikali yetu tukufu.
 
mmmh shure yan unampenz we si boy afu huyo mpenz ukiitaji sex anagoma make penz lakini anakupenda kinoma na ameshakufanyia hivyo zaidi ya mala tatu na wewe ukamua kumuacha sas take photo kama ndo wew ni mwanamke na ukafanyiwa hivyo je unge fanyaje
elezea vizuri basi enelisa tutakushauri
 
afu anaeleweka kama una nia ya kumsaidia


mtoto usipoteze bikira yako bure, iweke mpaka ndoa ,siku hizi ni zawadi adimu.
tafuta maisha,siku hizi mwanamke mwenye cash anaheshimika sana katika ndoa plus bikira,, haki amungu walahi,upewe nini
okey thanks
 
Siku zote naamini Jamiiforums ni Great of thinkers, sasa inapotokea mtu kama wewe hata kuandika vizuri huwezi nastaajabu sana...!!!
Hivi kuna member ambaye yupo humu JF hana elimu hata ya kidato cha NNE...?
 
Siku zote naamini Jamiilforums ni Great of thinkers, sasa inapotokea mtu kama were hata kuandika vizuri huwezi nastaajabu sana...
Hivi kuna member ambaye yupo humu JF hana elimu hata ya kidato cha NNE...?
what so do you think or just live it
 
Huyo mwanaume anakuwa hajakuandaa ili uwe tayari kungonoka
Hata baring za vyombo vya usafiri lazima ziwe na grisi
Akuandae vizuri bwana na wewe ufurahie.... Mweh!
 
Back
Top Bottom