Kwa nini nisipendeKumbe na wewe unapenda pesa Shunie?
Ukizaliwa mwanamke Kuna ka upendeleo fulani hivi katika mahangaiko ya kutafuta maisha, miili yetu ilivyo laini na ndivyo nature inatupunguzia maumivu ktk utafutaji, tangu enzi za kale wanawake walipigana vikumbo kuwa na wanaume wenye nyadhifa, wafalme, mitume na manabii ili kuokoa jamii zao,
Sema siku hizi imezidi lakini huo ndio uhalisia
Hapo Sasa ni ukosefu wa adabu, ila mwanamke kumuwinda mwanaume mwenye wadhifa Ni ishu ipo toka enzi hizo
Aliugua au?Wanaishia huku, ila naamini mwanaume halisi lazima amlee mwanamke aiseee. Siiamini haya mambo ya 50/50
View attachment 1979412
Inasikitisha sanaWanaishia huku, ila naamini mwanaume halisi lazima amlee mwanamke aiseee. Siiamini haya mambo ya 50/50
View attachment 1979412
Mwanaume toa pesa ila kauli mbiu MPLEKEE MOTO WE MPELEKEE MOTO
Sent from my TECNO KD7h using JamiiForums mobile app
Inabidi shida uweke pembeniNyege na shida ni vitu viwili tofauti kabisa
LabdaNa moto tunautaka haswa
Hatari sanaMwengine anakuja anataka mfilane sa huyo naanzaje kumpa bure hata awe mpenz wang nitahitaji chapaa ntamsumbua tu sabu nayy anasumbua ..labda awe ananikawaida vinginevyo nihalali yanguuu