Mapenzi si umri, a nice pic.

Duh! Nimecheka kufa! Huyu babu ana vituko! Kwanza pozi lake la uhakika. isitoshe naona amenyanyua "inkosikazi" juu kana kwamba anatangaza vita kwa yeyote atakayetaka kunyemelea mrembo wake: kwamba atakiona cha mtema kuni. Loh!
 
Huyo msichana ajiandae, kuna siku hako kazana ambako kako mkononi mwa hako kazee kitaishia kubonda kichwa cha binti...
sitaki kufikiria huko.
 
Nilipoiona title ya thread kabla ya kuiona picha niliwaza, "Lazima mwanamme atakuwa mkubwa kwa mwanamke."
 
Naona mkono unagusa nanihii pale kifuani... sijui hata kama anajua alichoshika!!!
 
Vipo vizee vipo fit kuliko hata hao vijana mapenzi hayana umri!

Haswa ukiongezea na kutembea vichupi vimetokeza nje ya suruali makalio yanaonekana pamoja na kuvaa "ear rings" na kusuka nywele, Ile nguvu ya ya uume kwishilia mbali wanafanana. Lakini angalia mzee alivyo poose! Nampa heko! Anahakika na jinsianavyotimiza wajibu mpaka wengine wanadhani kimwana kalewa kumbe karidhika mno!!!
 
Huyu ni mzee wa ukweli! Hapa alikuwa anaonyesha kwa vitendo jinsi alivyokuwa mahiri enzi zake kuwanasa vidosho. Ng'ombe hazeeki maini bwana alaaaa!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…