Mapenzi ni Uhuru au utumwa?

Mapenzi ni Uhuru au utumwa?

Ukipenda na hapohapo ukapendwa hutaona utumwa wa mapenzi.
Mali na kila kitu kinachowazunguka mnaona ni ubatili mtupu.
Mnachokiona ni mapenzi tu.
 
Yanategemeana...mengine ni kuzidiana ujanja
 
Ni utumwa wa kujitakia,
Na hapo inakua mmoja wao anafurahia huo utumwa kwa mwingine inakua kero.
 
  • Thanks
Reactions: Auz
Mapenzi ni dhana ngumu sana kuitafsiri. Nadhani ndo maana wahenga waliamua (ili kuondoa debates kama hizi) wakasema MAPENZI NI UPOFU.
 
MMU!
Ni utumwa au Uhuru? Ukiwa katika mapenzi, unakuwa hauna privacy. Muda wowote mpenzi wako anaweza akachukua simu yako na kuipekua.

Wengine unakuta mpenzi wako anakuwa na passwords zako za akaunti zako za benki, na hata za mitandao ya kijamii.

Kwa baadhi ya ndoa, kama mwanamke ni mwajiriwa au mjasiriamali, atafanya kazi, siku ya mwisho kipato chote anakikabidhi kwa mume.

Kwa baadhi ya ndoa, unapangiwa namna ya kuvaa, marafiki mpaka maadui.

Kama si utumwa ni nini? Na kama ni utumwa, mbona tunayalilia mapenzi?
Utumwa wenye heshima maana kinyume chake utaitwa muhuni
 
MAPENZI NI KUVUANA NGUO KISHA MNACHEZEANA BILA AIBU NA KINYAA BAADA YA HAPO NGUO MNAVAA KISHA KILA MTU ANAFUNGA SAFARI YAKE
 
MMU!
Ni utumwa au Uhuru? Ukiwa katika mapenzi, unakuwa hauna privacy. Muda wowote mpenzi wako anaweza akachukua simu yako na kuipekua.

Wengine unakuta mpenzi wako anakuwa na passwords zako za akaunti zako za benki, na hata za mitandao ya kijamii.

Kwa baadhi ya ndoa, kama mwanamke ni mwajiriwa au mjasiriamali, atafanya kazi, siku ya mwisho kipato chote anakikabidhi kwa mume.

Kwa baadhi ya ndoa, unapangiwa namna ya kuvaa, marafiki mpaka maadui.

Kama si utumwa ni nini? Na kama ni utumwa, mbona tunayalilia mapenzi?

dushelele na papuchi tamuuuuuuuuuu
 
Everything has it own conditions, so, one of the condition of love is to be open to your lover no matter that, if you don't want to be open then don't engage in love in any ways … that is rules of love
 
Back
Top Bottom