Mapenzi ni sehemu ya upendo au?

Mapenzi ni sehemu ya upendo au?

Giver2020

Member
Joined
Jun 7, 2016
Posts
48
Reaction score
15
Wana Jf! Napenda kuuliza ila samahani kama hii ilishawahi kupostiwa hum! Ivi ikiwa unampenzi lkn mpenzi huyo anakwambia ninakupenda sana na unaweza kuxema chochote naweza kuku fanyia lkn kuhuxu Mapenzi hilo kwangu haliwezekani! Na wewe unampenda xana, sasa huyo binti utafikili ana Mapenzi ya dhati kwako au ndo wale wakuchuna 2
 
Yes, huenda akawa na mapenzi ya dhati au yasio ya dhat kwako....

Kipimo cha mapenzi ya dhat hakipimwi na sex (mapenzi just like you have write there)

Kuna mambo kadhaa yanayoweza kukujulisha kwamba anamapenzi ya dhat au laa....jinsi anavyojitoa kwako...n.k

Kama sex au ngono ongekuwa ndio mapenzi ya dhat Basi kusingekuwa na matatizo ya mahusiano

Mpe muda, huenda hakuamini saana... Anawasiwasi 'utamchezea'.... Weka malengo nae....play and act smart.... Ipo Siku atakupa bila hata kuomba
 
huwezi kujua kama ni ya dhati au uongo maana mapenzi hayana fomula ila kwa ww kuwa karibu naye unaweza ukajua ukweli wa unchokiuliza kwa asilimia 50 kuliko sisi ambao hatupo naye
 
Huyo hapendi kuchezewa bali lengo lake ni ndoa, km umejiridhisha kuwa anafaa kuwa mke mwema basi tangaza uchumba mwishowe ndoa.
 
Tatizo vijana wengi wanawaza urafiki kati ya mwanamke na mwaume lazima uhusishe kusex.

Haya mambo ni makubaliano kati ya wawili wapendanao.

Kwa upande wangu naamini mnaweza kuwa marafiki/wachumba mkaamua tutosex na mkavumilia bila tatizo.

Ushauri wangu kwako mchunguze kama anakupenda kweli, mkae mjadili vizuri kwa nini hataki na mkubaliane kwa pamoja.

Lakini kama wewe ulimtamani na kuomba urafiki ili kusex naye tu basi hayo ni mambo mengine.
 
Wana Jf! Napenda kuuliza ila samahani kama hii ilishawahi kupostiwa hum! Ivi ikiwa unampenzi lkn mpenzi huyo anakwambia ninakupenda sana na unaweza kuxema chochote naweza kuku fanyia lkn kuhuxu Mapenzi hilo kwangu haliwezekani! Na wewe unampenda xana, sasa huyo binti utafikili ana Mapenzi ya dhati kwako au ndo wale wakuchuna 2
Like others said,
Anahitaji long terms agreement, pengine alishapitia akaishia kuchezewa au wakachezeana! Or may be hajawahi kabisa anaogopa asije kukupa ukamkimbia!

So angalia vigezo vya msingi unavyohitaji kwa mwanamke (to be your wife ) kama 80% anavyo make her your wife, utakuwa unakula anytime you need!
Sex pekee sio kipimo cha kwamba anakupenda au laaah
 
Wakati mwingine hawa watu hawa maanishi wanachokisema,,,,ataweza kukuambia muishi bila sex ila mwisho wa siku akaja kukulalamikia mbona hujawahi kumgonga??? au una michepuko???(imewahi nitokea) so kuwa makini.
 
Nakumbuka Kuna Mwanafalsafa aitwae Yesu Mnazareti alikuwa akisema "Imenenwa vile lakini mimi nawaambia hivi"

Kwa ulimwengu tulionao ni lazima "upime oili". Kuna watu wana "jinsi mbili", mashine zinatema kama "dampo" n.k.
 
Like others said,
Anahitaji long terms agreement, pengine alishapitia akaishia kuchezewa au wakachezeana! Or may be hajawahi kabisa anaogopa asije kukupa ukamkimbia!

So angalia vigezo vya msingi unavyohitaji kwa mwanamke (to be your wife ) kama 80% anavyo make her your wife, utakuwa unakula anytime you need!
Sex pekee sio kipimo cha kwamba anakupenda au laaah
Nimekwelewa mkuu!
 
Tatizo vijana wengi wanawaza urafiki kati ya mwanamke na mwaume lazima uhusishe kusex.

Haya mambo ni makubaliano kati ya wawili wapendanao.

Kwa upande wangu naamini mnaweza kuwa marafiki/wachumba mkaamua tutosex na mkavumilia bila tatizo.

Ushauri wangu kwako mchunguze kama anakupenda kweli, mkae mjadili vizuri kwa nini hataki na mkubaliane kwa pamoja.

Lakini kama wewe ulimtamani na kuomba urafiki ili kusex naye tu basi hayo ni mambo mengine.
Nita kaa nae mkuu
 
Hakuna kitu kama hicho leo hii.
Huyo muongo na mnafiki mkubwa ana msela wake anampiga sana.
Wee endelea tu kudhamini pambano lao.
Ipo siku utasikia ana mimba ya msela
 
Wanawake huwa wanaogopa kuanzisha mahusiano nakufanya mapenzi mapema mana wanahisi wataonekana hawajatulia
vilevle wanaume wakisha kutana na mwanamke nakumpa penzi haraka wanahisi mwanamke hajatuli hivyo upendo wa dhati haupimwi kwa kupewa penzi au kutokupewa
 
Back
Top Bottom