Mapenzi ni nini?

Mapenzi ni nini?

Love is anything that treats you like a child
Happiness flourishes and you enjoy

Suddenly turns into fire Brings sorrows and cries

Thin or fat whether you have money or not,
Anyone can love poverty doesn't limit love,️‍

Love is not a study that you can read in a book
Love made Harmonize fire Mwarabu,

Love brought fights over Diamond's children that he no longer sees them
He just ends up liking them on Instagram..

So Love Whoever Loves You️‍
Don't Love Whoever Loves You Not
That's love
 
Kwa experience yako ni vipi unaweza toa maelezo general kuhusu mapenzi
mm nina mapenzi sana na MAN U na huku Tanzania nina mapenzi na Simba
nikiingia Bar my dear bottle ni Safari lager
nyie mliozaliwa kipindi hiki cha 4G na 5Gndio mnaojua mapenzi ni kuosha rungu basi mkiachwa mnajiua. mabint wa siku hizi ni tofauti na mama zenu na sisi babazenu tuliostik mahali pamoja
 
Mambo vipi wana MMU,

Nimekuja kwenu kupata tafsiri ya hii kitu mapenzi ukiangalia experience yako katika maisha uliyopitia mpaka sasa katika swala zima la mapenzi ikitokea ukaulizwa mapenzi ni nini? Wewe utajibuje kwa mtazamo wako kutokana na experience yako binafsi ulikotoka ulipo sasa na unakoelekea ni vipi unaweza toa maana ya mapenzi.

Karibuni,
ni kizunguzungu..
 
Back
Top Bottom