Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,447
- 8,698
Mwanamke anapodiriki kukuonyesha kitu chake cha siri na mkakitumia kwa raha zenu hayo ndiyo mapendo halisia
Lakini mkuu mbona hata kabla ya huu utandawazi mababu zetu walikuwa wanalalamiki kuhusu jambo hili hata ukisikiliza nyimbo za kipindi hikoGlobalization changed everything kwa wakati tulio nao mapenzi ni kitendawili kizito Sana mkuu yaani yanagusa sehemu tofauti tofauti
Eti Joanah unakubaliana na hili?Mapenzi ni ubinafsi tuu wa hisia za watu wawili tofauti, nikiwa na maana kwamba kila mmoja atafanya kitu kwa mwenzake akitegemea na yeye kulipwa kwa mazuri hayo aliyofanya, ukitaka kujua mapenzi ni ubinafsi , muandikie mtu unayempenda ujumbe asipokujibu basi roho yako itaumia sana,au akujibu tofauti na hisia zako zilivyotaka utajisikia vibaya sana ,Na ndio hapo sasa tunasema ubinafsi , kwanini unategemea mazuri kwa mwenzako?, Kifupi mapenzi ni ubinafsi kila mmoja anataka kupata kitu kwa mwenzake.
Haya tulale.Hapa nina usingizi kinyama
Kasemaje kwani?
Ila sasa Hali ni mbaya kuliko zamaniLakini mkuu mbona hata kabla ya huu utandawazi mababu zetu walikuwa wanalalamiki kuhusu jambo hili hata ukisikiliza nyimbo za kipindi hiko
Haya tulale.
Usiku mwema kulwa, upate njozi tamutamu.
Kuoa jambo la heri eti. Hiyo ni ndoto tamu.Hapo kwenye njozi tamu tamu pamekuwa kinyume
Nimeota yule ex wangu aliyeniachaga ameoa eti....japo kiuhalisia nikisikia ameoa haitaniuma lakini kwenye ndoto nimeumia kinyama
Naomba nikuweke sawa kidogo, Kwa vitu ambavyo havina uhai ni "Upenzi" ila kupenda kunakoendana na uhai ndio "mapenzi"Mapenzi ni hisia baina ya mtu na mtu, mtu na kitu au mtu na hali. Hisia hizo huongozwa na nguvu zisizoonekana kwa macho ambazo huvuta au huvutana na kukamilisha jambo ambalo muhusika hutulizwa au kupendezwa nalo.
Kwa tafasiri isiyo sahihi, wengi wanatafasiri mapenzi kama tendo la kujamiiana baina ya viumbe hai na hasa binadamu. Hii siyo tafsiri sahihi ya neno mapenzi.
Ikiwa unatulizwa na hali ya hewa nzuri basi una mapenzi na hali ya hewa, ikiwa unatulizwa na kufurahia kucheza draft basi una mapenzi na mchezo huo. Kwa ufupi mapenzi ni upendo.
Kuoa jambo la heri eti. Hiyo ni ndoto tamu.
😀😀Chungu sana
is anything that treats you like a child
flourishes and you enjoy
Brings sorrows and cries

or not,
️
that you can read in a book
over Diamond's children that he no longer sees them

️
