Raynavero JF-Expert Member Joined Apr 29, 2014 Posts 38,380 Reaction score 56,078 Apr 14, 2018 Thread starter #101 Nkolandoto said: Tulisha kuambia mapenzi ni hisia zinazoumiza lakini hazichoshi unataka maana gani zaidi ya hii Click to expand... Huu ni mjadala
Nkolandoto said: Tulisha kuambia mapenzi ni hisia zinazoumiza lakini hazichoshi unataka maana gani zaidi ya hii Click to expand... Huu ni mjadala
Nkolandoto JF-Expert Member Joined Sep 18, 2016 Posts 4,102 Reaction score 4,031 Apr 14, 2018 #102 geniveros said: Huu ni mjadala Click to expand... Kwa hiyo
Raynavero JF-Expert Member Joined Apr 29, 2014 Posts 38,380 Reaction score 56,078 Apr 14, 2018 Thread starter #103 espy said: Mish you more! Naona tu mahaba niteketeze. Click to expand... Hahaaa!wapi Dada angu wee! Mjadala tu huu!Leo weekend
espy said: Mish you more! Naona tu mahaba niteketeze. Click to expand... Hahaaa!wapi Dada angu wee! Mjadala tu huu!Leo weekend
Raynavero JF-Expert Member Joined Apr 29, 2014 Posts 38,380 Reaction score 56,078 Apr 14, 2018 Thread starter #104 Nkolandoto said: Kwa hiyo Click to expand... Jadili
Atoto JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 89,479 Reaction score 176,521 Apr 14, 2018 #105 geniveros said: Hahaaa!wapi Dada angu wee! Mjadala tu huu!Leo weekend Click to expand... W.end na mahaba mubashara sio!!! Mapenzi ni ka ukichaa fulani.
geniveros said: Hahaaa!wapi Dada angu wee! Mjadala tu huu!Leo weekend Click to expand... W.end na mahaba mubashara sio!!! Mapenzi ni ka ukichaa fulani.
Raynavero JF-Expert Member Joined Apr 29, 2014 Posts 38,380 Reaction score 56,078 Apr 14, 2018 Thread starter #106 espy said: W.end na mahaba mubashara sio!!! Mapenzi ni ka ukichaa fulani. Click to expand... Hahaa!nipo na madogo kitandani tunacheza hapa!ng'ari ng'ari
espy said: W.end na mahaba mubashara sio!!! Mapenzi ni ka ukichaa fulani. Click to expand... Hahaa!nipo na madogo kitandani tunacheza hapa!ng'ari ng'ari
Nkolandoto JF-Expert Member Joined Sep 18, 2016 Posts 4,102 Reaction score 4,031 Apr 14, 2018 #107 geniveros said: Jadili Click to expand... Shule nshamaliza harafu unataka nianze kusove maswali ina maana wewe unatoa marks ? Wangapi umewapa vyeti vya kuhitimu?
geniveros said: Jadili Click to expand... Shule nshamaliza harafu unataka nianze kusove maswali ina maana wewe unatoa marks ? Wangapi umewapa vyeti vya kuhitimu?
Atoto JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 89,479 Reaction score 176,521 Apr 14, 2018 #108 geniveros said: Hahaa!nipo na madogo kitandani tunacheza hapa!ng'ari ng'ari Click to expand... Mara ghafla ukaanza kuyawaza mapenzi!!
geniveros said: Hahaa!nipo na madogo kitandani tunacheza hapa!ng'ari ng'ari Click to expand... Mara ghafla ukaanza kuyawaza mapenzi!!
agata edward JF-Expert Member Joined Nov 25, 2014 Posts 6,641 Reaction score 9,412 Apr 14, 2018 #109 Mapenz hisia.
Raynavero JF-Expert Member Joined Apr 29, 2014 Posts 38,380 Reaction score 56,078 Apr 14, 2018 Thread starter #110 espy said: Mara ghafla ukaanza kuyawaza mapenzi!! Click to expand... Hahahaa!what r u trying say !!hahaaaa!
espy said: Mara ghafla ukaanza kuyawaza mapenzi!! Click to expand... Hahahaa!what r u trying say !!hahaaaa!
Atoto JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 89,479 Reaction score 176,521 Apr 14, 2018 #111 geniveros said: Hapana sio vibaya but I wish!!! Click to expand... Whaaaaat!!!
Raynavero JF-Expert Member Joined Apr 29, 2014 Posts 38,380 Reaction score 56,078 Apr 14, 2018 Thread starter #112 Nkolandoto said: Shule nshamaliza harafu unataka nianze kusove maswali ina maana wewe unatoa marks ? Wangapi umewapa vyeti vya kuhitimu? Click to expand... Sorry kwa heri!
Nkolandoto said: Shule nshamaliza harafu unataka nianze kusove maswali ina maana wewe unatoa marks ? Wangapi umewapa vyeti vya kuhitimu? Click to expand... Sorry kwa heri!
Nkolandoto JF-Expert Member Joined Sep 18, 2016 Posts 4,102 Reaction score 4,031 Apr 14, 2018 #113 geniveros said: Sorry kwa heri! Click to expand... Ya kuonana
Linamo JF-Expert Member Joined Jan 12, 2011 Posts 9,976 Reaction score 24,498 Apr 14, 2018 #114 Mapenzi Ni hisia. Kama huna hisia na mtu hata aweje huwezi ukawa na mapenzi naye.
Raynavero JF-Expert Member Joined Apr 29, 2014 Posts 38,380 Reaction score 56,078 Apr 14, 2018 Thread starter #115 espy said: Whaaaaat!!! Click to expand... Eeeh!hahaaahaaaa!
Atoto JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 89,479 Reaction score 176,521 Apr 14, 2018 #116 geniveros said: Hahahaa!what r u tu say !!hahaaaa! Click to expand... nothing!
Raynavero JF-Expert Member Joined Apr 29, 2014 Posts 38,380 Reaction score 56,078 Apr 14, 2018 Thread starter #117 Linamo said: Mapenzi Ni hisia. Kama huna hisia na mtu hata aweje huwezi ukawa na mapenzi naye. Click to expand... Kweli eeeeh?!!!hahahaaa!sasa jitu lingine lina wanawake au wanaume zaidi ya mmoja! Hivi inawezekana wote hao at the same time!?
Linamo said: Mapenzi Ni hisia. Kama huna hisia na mtu hata aweje huwezi ukawa na mapenzi naye. Click to expand... Kweli eeeeh?!!!hahahaaa!sasa jitu lingine lina wanawake au wanaume zaidi ya mmoja! Hivi inawezekana wote hao at the same time!?
Raynavero JF-Expert Member Joined Apr 29, 2014 Posts 38,380 Reaction score 56,078 Apr 14, 2018 Thread starter #118 espy said: nothing! Click to expand... Hahaaaa!umeanza lini uspy?!!!!
Atoto JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 89,479 Reaction score 176,521 Apr 14, 2018 #119 geniveros said: Eeeh!hahaaahaaaa! Click to expand... Umeamua kutuzuga eeeh!!!
Linamo JF-Expert Member Joined Jan 12, 2011 Posts 9,976 Reaction score 24,498 Apr 14, 2018 #120 geniveros said: Kweli eeeeh?!!!hahahaaa!sasa jitu lingine lina wanawake au wanaume zaidi ya mmoja! Hivi inawezekana wote hao at the same time!? Click to expand... Hao hana mapenzi nao. Yuko nao kwa sababu flani anazozijua yeye. Japo unakuta kati ya hao yupo mmoja ndo ana mapenzi naye
geniveros said: Kweli eeeeh?!!!hahahaaa!sasa jitu lingine lina wanawake au wanaume zaidi ya mmoja! Hivi inawezekana wote hao at the same time!? Click to expand... Hao hana mapenzi nao. Yuko nao kwa sababu flani anazozijua yeye. Japo unakuta kati ya hao yupo mmoja ndo ana mapenzi naye