Mapenzi ni feelings bila hivyo hayadumu

Mapenzi ni feelings bila hivyo hayadumu

Mwanaume mwenye akili timamu, zama hizi wazo la kuachwa uwe nalo (usiliseme) ili likitokea usiumie sana. REAL LOVE IS A SEASONAL HAPPINESS.
Pesa inakusaidia tu kusogeza muda.
^^
mkuu kuachwa kupo maana mwanamke ni binadamu mwenye maamuzi,mwingine anaweza kukuacha kisa hujamkiss
 
Ata kwangu pacha, naona ni network inasumbua
kweli network inazingua hata hapa pacha,jaribu mpigie invisible(hata yeye hawekewi @) mwelezi unataka kummention flani.
 
mkuu kuachwa kupo maana mwanamke ni binadamu mwenye maamuzi,mwingine anaweza kukuacha kisa hujamkiss

Ni kweli, maana hata mwanasaikolojia Tim amewahi kuandika ' Mwanaume anaedhani amemwelewa mwanamke kikamilifu huyo ndiye mwanaume mpumbavu kabisa'
Back to topia,
Pesa ndiyo injini ya mapenzi siku hizi, sio nyakati zile. Huu mnatambua ndio ukweli lakini mmeamua kuziba macho tu. Anyway tunatofautiana uzoefu, kama unae ambae anakupenda kwa dhati (pasipo kuusemea moyo) hongera Mkuu. Na wewe ndiye mwenye furaha ya kweli.
^^
 
Ni kweli, maana hata mwanasaikolojia Tim amewahi kuandika ' Mwanaume anaedhani amemwelewa mwanamke kikamilifu huyo ndiye mwanaume mpumbavu kabisa'
Back to topia,
Pesa ndiyo injini ya mapenzi siku hizi, sio nyakati zile. Huu mnatambua ndio ukweli lakini mmeamua kuziba macho tu. Anyway tunatofautiana uzoefu, kama unae ambae anakupenda kwa dhati (pasipo kuusemea moyo) hongera Mkuu. Na wewe ndiye mwenye furaha ya kweli.
^^
mkuu ila kubali pia yapo mapenzi ya ukweli na ya pesa
 
Kumpata anaekupeda kwa dhati kwa sasa ni.ngumu waliobaki ni wasanii tu
 
mkuu ila kubali pia yapo mapenzi ya ukweli na ya pesa

Sikubali, hata yale yanayoonekana ni ya kweli, yameninginia juu ya msumari wa pesa. (Financial security)
NB;
Wale wanaoamini yapo ya kweli, waamini maana faith is the last thing we loose.
^^
 
Nakubaliana na wewe kwa asilimia 100 maana mie nikimpenda mtu hata akisema anaumwa kidogo mie ndio nazidiwa kabisaaaaa
 
Nakubaliana na wewe kwa asilimia 100 maana mie nikimpenda mtu hata akisema anaumwa kidogo mie ndio nazidiwa kabisaaaaa

Hahahhaa inakuwa mgonjwa kabisa,aisee lazima uumie
 
kweli bhana ndo maana watu wengine wana maisha mazuri ila wanatendwa,so feelings ni kitu cha mhimu

Wanatendwa kwa kuwa walijipeleka kwa kuangalia account na hii si kwa KE peke yao hata ME anapoona kile alichokusidia hakiendi kama alivyotarajia ndiyo hapo utakuta mabango na machozi ktk mitandao ya kijamii.
 
Subiri Paw akifa kwa uzee. Mpe miaja 40 afu unikumbushe hili ombi. Mean while tafuta dogodogo ule nae maisha. Ujana maji ya moto, na ugali huliwa wa moto
aaaah umeshaweka @ unamwita yanini sasa?mi tangu 2000 na ngapi naposti humu nakupenda ukanitosa,paw akaja baadaye ukamkubali kisa mod,haki ya nani ndo maana sometimes namwomba Mungu aniepushe na mapenzi anipe debe la chapati
 
Hehehe weeh mie paw nmetoka nae kwetu kijijini atii. Hebu tuwachee
aaaah umeshaweka @ unamwita yanini sasa?mi tangu 2000 na ngapi naposti humu nakupenda ukanitosa,paw akaja baadaye ukamkubali kisa mod,haki ya nani ndo maana sometimes namwomba Mungu aniepushe na mapenzi anipe debe la chapati
 

Attachments

  • 1415552904622.jpg
    1415552904622.jpg
    11.8 KB · Views: 69
Kama huna hela usijidanganye bana. Tafuta hela.Ukiwa na Range Rover kama huna mafuta ni kazi bure tu. Utakuwa una liangalia mchana kutwa, usiku kucha. Pesa ina nafasi yake. Tafuteni hela acheni excuse za kijinga. Tutawa...mbea hadi mchanganyikiwe. Pesa ina run dunia.

.waambie Mkuu haya mambo bila PESA jiandae kuugua kila siku, kwanza itambulike wazi feelings/emotions hubadirika kulingana na mazingira au matukio, kuna wakati huwa juu na wakati mwingine huwa chini, sa ndo mapenzi gani hayo?..ila kuwa na PESA za kutosha uone raha yake......
 
Back
Top Bottom