Mapenzi ni feelings bila hivyo hayadumu

Mapenzi ni feelings bila hivyo hayadumu

Viol

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
25,419
Reaction score
18,368
Wengine wanasema mapenzi yanaangalia hela ila mapenzi ni feelings bhana.

Awe na kitu au hana ila you just care for her/him.
Unakuwa happy kwa uwepo wake,unamhurumia,unamjali.
Hata akikuumiza bado unafeel ni yeye umpendaye.
Unalia but you still want to see her/his face.
Unakuwa unafeel,kama mmezaa ukiangalia sura ya mtoto unamwona,utamchuniaje wakati ukikaa chini unajiuliza mwenzangu atafeel vipi?haumii kweli?


Warembo wanaoweka hela kipaombele ni dalili za umalaya.
 
Mmmmmh! Mapenzi ni uadilifu bhana. ukumbuke feeling zinabustiwa na nyege tu ukiwa si mwadilifu na nyege zikakuishia huchelewi kuzusha varangati!!!!!

NA KWA SABABU HIYO (ya uadilifu) SISI WAADILIFU TUMEPEWA LUNGU LA KUOA ZAIDI YA MMOJA.
 
Kama huna hela usijidanganye bana. Tafuta hela.Ukiwa na Range Rover kama huna mafuta ni kazi bure tu. Utakuwa una liangalia mchana kutwa, usiku kucha. Pesa ina nafasi yake. Tafuteni hela acheni excuse za kijinga. Tutawa...mbea hadi mchanganyikiwe. Pesa ina run dunia.
 
Bila kumpenda mtu yeye kama yeye na si kwa sababu fulani fulani...kikija kipindi kugumu cha mawimbi lazima meli izame...
But where there is love kila kitu kinapita...

Ndio maana mimi sielewi mtu akisema mume wangu wala sikumpenda niliangalia future...kuna future gani bila love???????

Huo ndio mwanzo wa kuendelea kuangalia kushoto na kulia pindi unapopata maudhi kidogo au mwenzio akiwa mgonjwa huwezi kumvumilia...sababu siyo love of your life...

Ndio unaona nyuzi mume kapungua nguvu za kiume...sijui nini...kama uliolewa sababu ya libolo tu...
 
Kama huna hela usijidanganye bana. Tafuta hela.Ukiwa na Range Rover kama huna mafuta ni kazi bure tu. Utakuwa una liangalia mchana kutwa, usiku kucha. Pesa ina nafasi yake. Tafuteni hela acheni excuse za kijinga. Tutawa...mbea hadi mchanganyikiwe. Pesa ina run dunia.
mkuu hela zipo na zinatafutwa,ila hata wenye hela wanatendwa pia
 
Ni kweli true love never die it's only gets stronger with time, mengine ni matokeo tu ktk maisha.
kweli bhana ndo maana watu wengine wana maisha mazuri ila wanatendwa,so feelings ni kitu cha mhimu
 
Bila kumpenda mtu yeye kama yeye na si kwa sababu fulani fulani...kikija kipindi kugumu cha mawimbi lazima meli izame...
But where there is love kila kitu kinapita...

Ndio maana mimi sielewi mtu akisema mume wangu wala sikumpenda niliangalia future...kuna future gani bila love???????

Huo ndio mwanzo wa kuendelea kuangalia kushoto na kulia pindi unapopata maudhi kidogo au mwenzio akiwa mgonjwa huwezi kumvumilia...sababu siyo love of your life...

Ndio unaona nyuzi mume kapungua nguvu za kiume...sijui nini...kama uliolewa sababu ya libolo tu...
kama kaangalia mali means future yake ipo kwenye mali after that haipo,ila huwezi kusema unaangalia future kwenye mfuko wa mtu kama una akili timamu,but mapenzi ya kweli huwa ndo yanaleta future nzuri,so sad wapo ambao ikifikia hatua hiyo ndo wanazinguana
 
Mapenzi ya kweli walifaidi wazee wetu, nyakati ambapo pesa na Ukimwi havikuwa adui wa kupendana...
Siku hizi macho yako chonjo kwenye wallet, usipoombwa leo, unawekewa kiporo.
^^
sasa wallet ikizingua baadaye si utaachwa tu,balaa
 
Hapo umeongea mimi wangesema wenye pesa hawatendwi ningeamini pesa ndo kila kitu lakin wenye pesa ndo wanachapikiwa kuliko hawa wasionazo
mkuu fukara akitendwa ni kawaida,tajiri akitendwa lazima isikike,ukweli unabaki kwamba mbali na mapenzi ya tamaa kuna mapenzi ya ukweli pia
 
Na feelings huwa zinatengenezwa na zinabolewa hii inategemea pande zote......vilevile mapenzi yanasifa ya kukua fikiria enzi za babu zetu ili kuonyesha mapenz walikuwa wanafanya mambo tofaut sana na tunayoyafanya sasa hivi..So sijui baada ya miaka 10 ijayo tafsir ya mapenz itakuwa ni nin?
 
Hapo umeongea mimi wangesema wenye pesa hawatendwi ningeamini pesa ndo kila kitu lakin wenye pesa ndo wanachapikiwa kuliko hawa wasionazo
Siyo kweli kabisa. Wenye ni kweli wanaweza kuchapiwa but ni mara chache. Wasio na hela wanachapiwa zaidi. Mke wa mtu mwenye hela hatoki toki hovyo nje wewe. Anatoka kwa sababu na ratiba maalum. Saloon iko ndani, haendi sokoni anaagiza tu. Akitoka yupo na mumewe. Saa ngapi atapata access ya kuchepuka? Labda unaongelea wenye vijisenti.

But mke wa mtu mwenye hela. I mean mwenye hela, siyo vijisenti. Thubutu anawekewa mazingira ambayo ni vigumu kuchepuka.
 
Siyo kweli kabisa. Wenye ni kweli wanaweza kuchapiwa but ni mara chache. Wasio na hela wanachapiwa zaidi. Mke wa mtu mwenye hela hatoki toki hovyo nje wewe. Anatoka kwa sababu na ratiba maalum. Saloon iko ndani, haendi sokoni anaagiza tu. Akitoka yupo na mumewe. Saa ngapi atapata access ya kuchepuka? Labda unaongelea wenye vijisenti.

But mke wa mtu mwenye hela. I mean mwenye hela, siyo vijisenti. Thubutu anawekewa mazingira ambayo ni vigumu kuchepuka.
Hahahaha hapo utakuwa unajidanganya tena hao ndo hawachagui hata wa kuwachapa mara ameangukia kwa mlinzi au shamba boy na hapa naongelea wenye pesa haswaaa sio vijisent na afadhali wenye vijisent ni watulivu kidogo
 
Kuna ukwel fulan apo km pesa malaya kila siku wanapewa na figure tofauti lkn je wana mapenz na hao malaya wenzao. Mbona maskin kwa maskin wanadumu ndoani mpaka kifo. Pesa ina nafasi yake na feelings pia ina role yake katika mapenzi. Watch out
 
Back
Top Bottom