mkuu kwakweli baada ya miaka 10 sielewi tafsiri ya mapenzi itakwaje,leo naangalia tu picha ya girl online nakuwa nimeridhika tunakutana tunashiriki kila kitu,sasa baada ya miaka 10 itakwajeNa feelings huwa zinatengenezwa na zinabolewa hii inategemea pande zote......vilevile mapenzi yanasifa ya kukua fikiria enzi za babu zetu ili kuonyesha mapenz walikuwa wanafanya mambo tofaut sana na tunayoyafanya sasa hivi..So sijui baada ya miaka 10 ijayo tafsir ya mapenz itakuwa ni nin?
sasa wallet ikizingua baadaye si utaachwa tu,balaa
Kuna ukwel fulan apo km pesa malaya kila siku wanapewa na figure tofauti lkn je wana mapenz na hao malaya wenzao. Mbona maskin kwa maskin wanadumu ndoani mpaka kifo. Pesa ina nafasi yake na feelings pia ina role yake katika mapenzi. Watch out
ishu sasa kumpata huyo wa kweli pacha .
Hapo umeongea mimi wangesema wenye pesa hawatendwi ningeamini pesa ndo kila kitu lakin wenye pesa ndo wanachapikiwa kuliko hawa wasionazo
pacha hongera kwa ...siweki @
kwangu inagoma kwa huko kwako vipi pacha