mapenzi nayo kazi

mapenzi nayo kazi

Totoz

Member
Joined
Jan 27, 2013
Posts
99
Reaction score
18
siku hizi hakuna mapenzi ya dhati wadada wanachagua wanaume kama bidhaa ya kichina na original na mwishowe anachukua ya kijapani iliopita china kwa finishing. Wakaka wanachagua wadada wenye makalio wakati wao ni mabapa na vitambi mbele loooh jaman kweli kupata mke bora na mke boro ni sawa na kutafuta almasi ndani ya bahari.
 
Ali Kiba na Jide put it very nicely.

I'm not a big bongofleva fan but this song right here is on point.

"Siku hizi kwa kudanganyana, mvulana msichana, ishakuwa poa poa tu. Hakunaga mapenzi yale, ya kugandana ni zama za kale"

 
Last edited by a moderator:
Mkuu si kweli

Mapenzi ya dhati bado yapo pale pale kama yalivyokuwepo kilichobadirika ni kwamba watu wa siku hizi ndo hawana mapenzi ya dhati.

hiyo ni sawa na kusema hatuna sera nzuri wakati sera nzuri zipo ila watu hawazitekelezi
 
kama mapenzi yanakukera achana nayo fanya mambo mengine!
 
Mkuu si kweli

Mapenzi ya dhati bado yapo pale pale kama yalivyokuwepo kilichobadirika ni kwamba watu wa siku hizi ndo hawana mapenzi ya dhati.

hiyo ni sawa na kusema hatuna sera nzuri wakati sera nzuri zipo ila watu hawazitekelezi

mmmh ndugu sikuhizi kila mtu yupo kwa on interest zake bhana
 
Ali Kiba na Jide put it very nicely.

I'm not a big bongofleva fan but this song right here is on point.

"Siku hizi kwa kudanganyana, mvulana msichana, ishakuwa poa poa tu. Hakunaga mapenzi yale, ya kugandana ni zama za kale"



kabisa yani
 
Last edited by a moderator:
really??na pesa ikiwa imelala wapi? let love be the one to knock at your door sio wewe uikimbize kuitafuta!
mmmh!ataachana na mtawala wa dunia!!...mapenzi yanatawala dunia!
 
Namuonea huruma sana haya mapenzi hayana mana karibu chAma la barchelour ukinipenda twamalizana leo tuu siku hizi kudanganya msichana mvalana ishakuwa poa poa tu ni jide huyoo

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Mkuu si kweli

Mapenzi ya dhati bado yapo pale pale kama yalivyokuwepo kilichobadirika ni kwamba watu wa siku hizi ndo hawana mapenzi ya dhati.

hiyo ni sawa na kusema hatuna sera nzuri wakati sera nzuri zipo ila watu hawazitekelezi

yeah...huo ndio ukweli...
Labda tu nikazie kdg...kuna song ya ally/abdul kiba imeelezea vizuri...inaitwa kibela..."hii dunia $io mbaya walimwengu ndio wabaya..that true..!
NB:kama wewe si mwaminifu ba$i huwezi kuaminiwa..!
By $ina habar!
 
yeah...huo ndio ukweli...
Labda tu nikazie kdg...kuna song ya ally/abdul kiba imeelezea vizuri...inaitwa kibela..."hii dunia $io mbaya walimwengu ndio wabaya..that true..!
NB:kama wewe si mwaminifu ba$i huwezi kuaminiwa..!
By $ina habar!
watu wengi wanashindwa kutofautisha vitu hivyo viwili
 
kama hujampata anayekupenda utayachukulia poa poa tu, na yaliyokufika wewe sio yatakayomfika yeye
 
wewe walalamika kuwa hakuna mapenzi wengine wanafurahi kwa raha ya kupendwa
pole
 
mapenzi ya dhati yapo kabisaaa ila ukikurupuka zinakukuta za uso.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom