1. Haina muda... inaweza ikawa siku hiyo hiyo au baadae sana...
2. Condom inaweza isitumike hata siku hiyo hiyo... ni shauri zenu... wengine siku ya kwanza ya s.ex condom ni bao la kwanza tu yanayofuata kavu...
3. Haina muda... ni wewe na tamaa zako...
4. Utamu wa mwanamke unazidi pale mtakavyoshirikana na mkawajibika pamoja ipasavyo kwenye tendo...
5. Wanawake watajibu wenyewe...
Cc: mahondaw
Mafuta gani hayo aseeKuvaa kondomu ni mambo ya kizamani siku hizi kuna aina ya mafuta unapaka kwenye uume una subiri dakika kadhaa then unaaanza kufanya mapenzi.