Mapenzi hayaangalii maumbile,mapenzi hayaangalii rangi wala nini,ni upendo wa ndani kabisa wa moyo wa mtu,watu kutafuta dawa za kuongeza maumbile ni seme wame potoka kimawazo,kwanza sidhani kama kuna dawa yakuaminika yenye kuongeza dawa za maumbile,sijui,nahisi ni danganya ya watu kujipatia hela