Sic March
JF-Expert Member
- Mar 2, 2019
- 690
- 895
WanaJF,
Siyo siri leo nimestaajabu mapya kabisa katika mapenzi. Ilikuwa hivi:
Kuna 'pisi' moja niliitongoza ikanambia itanijibu nivumilie. Sasa kuna siku aliniambia hana pesa ya msosi, mimi nikakaza nikajisemea siwezi kubeba mzigo usionihusum, nikamkwepa kijanja hapo.
Movie inaanza, jana usiku namwambia nipe jibu basi, akaanza maneno meng oohh mimi nina mtu ananipenda ambaye yeye ananijali, ambae haruhusu mimi nishinde njaa, nampenda sana; lakini wewe hunipendi ndiyo maana uliniacha nishinde njaa.
Yaanisiyo siri nimecheka sana na hawa viumbe wa leo.
Sasa nikajiuliza mimi nimekosea wap hapo mpaka sasa, sina jibu aisee. Wana mnipe somo nilikosea wapi.
Siyo siri leo nimestaajabu mapya kabisa katika mapenzi. Ilikuwa hivi:
Kuna 'pisi' moja niliitongoza ikanambia itanijibu nivumilie. Sasa kuna siku aliniambia hana pesa ya msosi, mimi nikakaza nikajisemea siwezi kubeba mzigo usionihusum, nikamkwepa kijanja hapo.
Movie inaanza, jana usiku namwambia nipe jibu basi, akaanza maneno meng oohh mimi nina mtu ananipenda ambaye yeye ananijali, ambae haruhusu mimi nishinde njaa, nampenda sana; lakini wewe hunipendi ndiyo maana uliniacha nishinde njaa.
Yaanisiyo siri nimecheka sana na hawa viumbe wa leo.
Sasa nikajiuliza mimi nimekosea wap hapo mpaka sasa, sina jibu aisee. Wana mnipe somo nilikosea wapi.