Mapenzi na dini

agrey nziku

Member
Jan 10, 2015
12
1
Hellow wadau,

Ninatatizo moja kubwa sana na hata sjui nianzie wapi kusolve. Ninampenzi wangu anaitwa Ashura ninampenda sana pia yeye ananipenda sana.

Lakini tatizo nikwamba mimi ni mkristo yeye ni mwislamu na ningependa awe mwenza wangu wa maisha. Pia wazazi wangu wanakataa kosa dini tofauti na wanadai harusi itafungwaje.

Napia italeta mtafaruku kwa watoto wafate dini ya baba au mama. Kikubwa baba mkwe hataki bint yake abadili dini kuwa mkristo na kwangu pia vivyo hivyo sitaki kuchange dini.

Am on dilemma I need your suggestions wadau
 
Achana nae tofuta wa dini yako mbona wapo wengi wazuri na wanaojielewa.
Omba Mungu itapata tu. Kwa upande wangu issue ya dini ni very sensitive.
 
agrey nziku

Mnavyoonekana wote mmeshika dini, katika mazingira hayo namna bora ni kuachana tu, la ingekuwa mmoja ni mkiristo jina au muisilam jina wala isingekuwa na shida. Msikilize pia miss chagga. Vinginevyo utaleta migogoro isiyo na tija, ukijdanganya kupenda utajuta, maana mapenzi yanachuja na ndoa ndo ya kudumu.
 
Last edited by a moderator:
Amueni watto wafuate dini ipi
halafu nyinyi kila mtu abaki na dini yake
oaneni wilayani

Usimdanganye, watoto watakuwa wanaenda na nani kanisani, mfano wakaamua watoto wawe wakristo hala baba akasafiri, mama atakuwa anawapeleka kanisani? Biblia imesema mlee mtoto katika njia impasayo.
 
Amueni watto wafuate dini ipi
halafu nyinyi kila mtu abaki na dini yake
oaneni wilayani

U ni ushauri mzuri,unaeza kutafuta wa dini yako na io ndoa isiwe na amani kabisa,mapenzi ni makubaliano yenu wazazi ni wa kushirikishwa tu dini isiwe chanzo cha kuondoa furaha yenu wanawake ni wengi lakibi kumpata kama uyo aiwezekani,mnaeza kufunga ndoa serikalini
 
Mwanaume wa kweli awez kumfata dini mwanamke atakuwa kaolewa la sivyo muachane tuu na umwambie kabisa anachezea bahati hivyo kukupoteza coz wanaume wenyewe tupo wachache
 
Back
Top Bottom