Mapenzi....mnh!

Kwa kungwi kukiliwa hata kwa mwali pia huliwa
Mbu kheri?
 
Reactions: Mbu
Hapa nakumbuka nyimbo mbili.

1. Beautiful Monster wa Ne-Yo

2. Heartless wa Kanye West.

lols
 
Reactions: Mbu
kawaida yao hawa watu, umaarufu watafutwa kila sekunde, pesa kwao ni kitu cha kawaida.
 
Reactions: Mbu
Kwakweli nimeamini samaki huvuliwa mara moja, naamini jamaa akisha mtia mimba kilakitu kitakuwa kunyume chake
 
Maty, Maty, Maty,

Mbona unabeep hivyo mdogo wangu? Kulikoni?
 
Last edited by a moderator:
huyo jamaa alifumaniwa na mke wake ndo huyo akamwomba msamaha ili asiachwe mwanamke ndo akampa hadhabu ya kutembea kama mbwa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…