Mapenzi Matamu Jamani, Mungu Tuongoze


Hahahaha umecatch dada tulia. Pilipili kama ni ya unga itawawasha watu wote


Just like the old days
 

thanx sweetheart!!..mekupenda bure
 

Hhehehe kweli huna shughuli ya kufanya.


Just like the old days
 

Hahahhah jaman how swiiit it is,kampikie bi mkubwa tena nami nakuja huko mchana...
Mpenzi yaniii tena nitachafuliwa siku.wacha nitoke zangu humu.
badae mwenza wangu
 
Hhehehe kweli huna shughuli ya kufanya.


Just like the old days

hlf kweli sina shughuli ya kufanya eh...haya we mwenzangu mwenye shughuli ya kufanya unafanya nini huku saiv,..tena asubuh yote hii!?eh
 
Hahahhah jaman how swiiit it is,kampikie bi mkubwa tena nami nakuja huko mchana...
Mpenzi yaniii tena nitachafuliwa siku.wacha nitoke zangu humu.
badae mwenza wangu

haya mama,karibu!
hata mimi natoka huku,..baadae mke mwenza
 

word! we have to change
 
hlf kweli sina shughuli ya kufanya eh...haya we mwenzangu mwenye shughuli ya kufanya unafanya nini huku saiv,..tena asubuh yote hii!?eh

Ni kawaida yangu asubuhi,katikati ya siku na jioni kupita humu kuona kuna nini.

Usijali nilikuwa nachangamsha kijiwe tu.
 

Wanamke wana mapenzi ya uongo sana mara nyingi.
 
mradi topic isibadilike na kuwa " usiwaamini masuper star wa bongo movie wana mapenzi ya ulaghai"
 
Hivi huyu Mungu tunayemuomba wakati tupo macho kodo tunazini ni yupi??!!! Mi huwa nashangaa sana, eti namuomba Mungu atufikishe mbali, huku mnazini kila siku tena kwa kukusudia kabisaaaa!!!!! Damn huyu Mungu atakuwa keshakuwa babu yetu naona!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…