Mapenzi mahusiano na urafiki

jnuswe

JF-Expert Member
Nov 2, 2010
1,270
549
Jamani kama nimekosea nakubaliana kukosolewa, kwa muda mfupi niliokaa kwenye jamvi ili, naona topic zinazohusu mapenzi mahusiano na urafiki ziko juu kwa maana ya views even replies, pia Thread zenye debate kali zinachangamkiwa, naomba nisaidiwe kwa kinachosababisha hizo snerio mbili iwe hivyo, hasa Tread za mapenzi why ?
 
Jamani kama nimekosea nakubaliana kukosolewa, kwa muda mfupi niliokaa kwenye jamvi ili, naona topic zinazohusu mapenzi mahusiano na urafiki ziko juu kwa maana ya views even replies, pia Thread zenye debate kali zinachangamkiwa, naomba nisaidiwe kwa kinachosababisha hizo snerio mbili iwe hivyo, hasa Tread za mapenzi why ?
we hujui kama mapenz yametawala dunia?
 
Bila mahusiano hakuna urafiki
Bila urafiki hakuna mapenzi ya kweli
Bila mapenzi hakuna kuzaa
Bila kuzaa hakuna binadamu
Bila binadamu hakuna majukwaa yote
Yaliyo bakia.... MMU ndio moyo
Wa JAMII FORUM ... mmmhhh mwili
bila moyo hauna kazi...
 
No Love no Life.

Hujui mapenzi ndo kila kitu? na hapa ndo pameshikilia JF hakuna stress kama kwenye siasa
 
tunafanya kila tunachofanya au hatufanyi kila tusichotaka kufanya kwa sababu ya haya maneno matatu, MMU....wafute uone JF itakavyokuwa, kama gari bila fluids
 
Bila mahusiano hakuna urafiki
Bila urafiki hakuna mapenzi ya kweli
Bila mapenzi hakuna kuzaa
Bila kuzaa hakuna binadamu
Bila binadamu hakuna majukwaa yote
Yaliyo bakia.... MMU ndio moyo
Wa JAMII FORUM ... mmmhhh mwili
bila moyo hauna kazi...

Bila mapenzi hakuna siasa.
 
Bila mahusiano hakuna urafiki
Bila urafiki hakuna mapenzi ya kweli
Bila mapenzi hakuna kuzaa
Bila kuzaa hakuna binadamu
Bila binadamu hakuna majukwaa yote
Yaliyo bakia.... MMU ndio moyo
Wa JAMII FORUM .
.. mmmhhh mwili
bila moyo hauna kazi...

THTHTHTTHHHHHHHHHheeeeee:caked:
 
Jamani kama nimekosea nakubaliana kukosolewa, kwa muda mfupi niliokaa kwenye jamvi ili, naona topic zinazohusu mapenzi mahusiano na urafiki ziko juu kwa maana ya views even replies, pia Thread zenye debate kali zinachangamkiwa, naomba nisaidiwe kwa kinachosababisha hizo snerio mbili iwe hivyo, hasa Tread za mapenzi why ?

anza wewe kutuambia kwanini umependa kuuliza juu ya JUKWAA LA MAPENZI KWANINI LINAPENDWA SANA...then utajibiwa kwanini watu wanapenda jukwaa ili ....

naenda kuoga nikkirud nkute maelezo ubaon kinyume chake ...NTAKUPA ADHABU YA KUSOMA JUKWAA LA INTELENSIA TU..no more MMU!!!!!
 
Bila mahusiano hakuna urafiki
Bila urafiki hakuna mapenzi ya kweli
Bila mapenzi hakuna kuzaa
Bila kuzaa hakuna binadamu
Bila binadamu hakuna majukwaa yote
Yaliyo bakia.... MMU ndio moyo
Wa JAMII FORUM ... mmmhhh mwili
bila moyo hauna kazi...

I love you, i love you, i love you ....
 
I Love you too huny bunny
mmmhhh

naomba ulicho kificha nyuma hahahah lol
( tena napenda nyekundu hahaha Lol)
 
Back
Top Bottom