Mama chuma
Member
- Sep 29, 2011
- 37
- 7
Pole saana hayo matatizo yapo kila kona,cha msingi tuliza akili kwanza usifanye papara unaeza ukaumia tena cha mwisho muombe Mungu akupe mke mwema na atakupatia.
Walkua size yangu
Sio hvyo mkuu, n wao 2 coz nawafanyia kias kwamba wanardhka ila cjui n kwann. Na baadh yao wananambia wanajuta kuachana na mie