Mapenzi kwangu mzigo,,,

Mapenzi kwangu mzigo,,,

Wee kula bata tu kwa sasa, ya nini ujibebeshe sayari zote hizi?
Moyo wa kupenda utakuja ukikutana na umpendae.
 
Mwaka 2005, nliingia rasmi ktk mapenz. Nkawa na binti mmoja akaolewa nikiwa masomoni. Wa pili nikiwa naye nlimtambulisha hadi nyumban nikiwa ninania ya kumuona nikamfumania. Watatu nikiwa chuo nikampata mwngne mmasai, 2kapendana sana, wakati penz lmepamba moto kuna siku akanambia anamimba alafu sio yangu. Niliumia sana,, sasa wadau mnanishauri nin maana umri unaenda na moyo wangu umechoka kupenda coz kama ni maumivu yamezidi, najaribu kujilazimisha kupenda lakin moyo hautaki. Naomba ushauri

Pole kwa yaliyokukuta. Inawezekana hao wote uliokutana nao walikuwa si wako. Vumilia jipe moyo, jiamini, omba Mungu nawe utampata wako kwa wakati wake usipozimia moyo! Hauhitaji haraka sana unapofikiria kuingia kwenye ndoa, ndoa si kutafuta spare ya gari ukasema ukiikuta duka lolote utanunua, ndoa ni zaidi ya mahusiano. Kuwa mwangalifu.
 
Pole kwa yaliyokukuta. Inawezekana hao wote uliokutana nao walikuwa si wako. Vumilia jipe moyo, jiamini, omba Mungu nawe utampata wako kwa wakati wake usipozimia moyo! Hauhitaji haraka sana unapofikiria kuingia kwenye ndoa, ndoa si kutafuta spare ya gari ukasema ukiikuta duka lolote utanunua, ndoa ni zaidi ya mahusiano. Kuwa mwangalifu.

Asante,,
 
Wee kula bata tu kwa sasa, ya nini ujibebeshe sayari zote hizi?
Moyo wa kupenda utakuja ukikutana na umpendae.

Mda mwingne natamani niwe na-eat na ku-run ila naogopa majanga,,,
 
Yes tafuta mtu sahihi kwa wakati sahihi anza na mungu mshirikishe yeye haja ya moyo wako nenda church kaombewe na wapakwa mafuta wa bwana mambo yataenda kwa mungu hakuna kukata tamaa yote yawezekana amina
 
Poleee sana mimi ninachokushauri usikate tamaa maana hiyo ndo ulimwengu wa mapenzi ilivyo lakini 1 day utakuja mpata yule uliyepangiwa na M ungu uwe naye katika maisha yako yote
 
Mwaka 2005, nliingia rasmi ktk mapenz. Nkawa na binti mmoja akaolewa nikiwa masomoni. Wa pili nikiwa naye nlimtambulisha hadi nyumban nikiwa ninania ya kumuona nikamfumania. Watatu nikiwa chuo nikampata mwngne mmasai, 2kapendana sana, wakati penz lmepamba moto kuna siku akanambia anamimba alafu sio yangu. Niliumia sana,, sasa wadau mnanishauri nin maana umri unaenda na moyo wangu umechoka kupenda coz kama ni maumivu yamezidi, najaribu kujilazimisha kupenda lakin moyo hautaki. Naomba ushauri


Hapo kwenye red, usiingie kwenye mahusiano kwasababu umri umekwenda, ingia kwenye mahusiano kwasababu umependa na moyo umeridhika. Kama moyo wako umechoka kupenda upe break, ukikutana na the right person utasahau yote yaliyopita.
 
Hapo kwenye red, usiingie kwenye mahusiano kwasababu umri umekwenda, ingia kwenye mahusiano kwasababu umependa na moyo umeridhika. Kama moyo wako umechoka kupenda upe break, ukikutana na the right person utasahau yote yaliyopita.

Asante
 
Pole kwa yaliyokukuta. Inawezekana hao wote uliokutana nao walikuwa si wako. Vumilia jipe moyo, jiamini, omba Mungu nawe utampata wako kwa wakati wake usipozimia moyo! Hauhitaji haraka sana unapofikiria kuingia kwenye ndoa, ndoa si kutafuta spare ya gari ukasema ukiikuta duka lolote utanunua, ndoa ni zaidi ya mahusiano. Kuwa mwangalifu.

Amina, ntayaweka akilin
 
Usi-eat na ku-run, kama sio tabia yako utaumia zaidi

Fanya vitu vinavyokufurahisha kwa sasa, pumzika mapenzi kwa muda

Usijipe pressure ya kuwa unatakiwa kuoa, hakuna due date ya kuoa ukizaliwa

Watu huoa na kuolewa pale tu wanapowapata watu wanaowatamanisha kuingia ndoani

Vinginevyo utaambulia majanga, kula bata simaanishi ufanya uzinzi tu

Mda mwingne natamani niwe na-eat na ku-run ila naogopa majanga,,,
 
Nisipoumia utajifunzaje???

Mhhhh, si maumivu ya namna hii bana, haya husababisha wenye mioyo dhaifu hata kuikimbia dunia! Hukosoma last week kwenye magezeti kuna housegel fulani toka huko Iringa aliiaga dunia kwa sababu ya hii makitu?
 
mke / mume mwema anatoka kwa Mungu... sugua goti umwombe Munge akupe ubavu wako yawezekana unapata maubavu ya watu tuuu wakija kwako hawafit inakuwa shida wanakuumiza tu. mwombe Mungu akupe wa kwako.
 
pole bt usiumie sana kaka take it as a part and percel of life haupo peke yako uliyekutwa na hali kama hiyo zidi kusali kwa kutumia novena mungu atajibu ombi lako
 
Mhhhh, si maumivu ya namna hii bana, haya husababisha wenye mioyo dhaifu hata kuikimbia dunia! Hukosoma last week kwenye magezeti kuna housegel fulani toka huko Iringa aliiaga dunia kwa sababu ya hii makitu?

Hapana
Maumivu yanapaswa yamfanye awe makini zaidi katika chaguzi zake...
Poa kwenye mapenzi yanapokua motomoto anapaswa aenjoy

Yakianza kupoa anapaswa awe standby...

Challenge hizi ndo zinafanya mapenzi yanoge...

Na kwenye safari ya mapenzi waliodhaifu wanaishia kujinyonga .....
 
Usi-eat na ku-run, kama sio tabia yako utaumia zaidi

Fanya vitu vinavyokufurahisha kwa sasa, pumzika mapenzi kwa muda

Usijipe pressure ya kuwa unatakiwa kuoa, hakuna due date ya kuoa ukizaliwa

Watu huoa na kuolewa pale tu wanapowapata watu wanaowatamanisha kuingia ndoani

Vinginevyo utaambulia majanga, kula bata simaanishi ufanya uzinzi tu

Asante, nitakua kama ulvyoshaur coz eat n run c tabia yangu..,
 
Mhhhh, si maumivu ya namna hii bana, haya husababisha wenye mioyo dhaifu hata kuikimbia dunia! Hukosoma last week kwenye magezeti kuna housegel fulani toka huko Iringa aliiaga dunia kwa sababu ya hii makitu?

Sure, ila n kwa wavivu wakufikiri
 
Hapo kwenye red, usiingie kwenye mahusiano kwasababu umri umekwenda, ingia kwenye mahusiano kwasababu umependa na moyo umeridhika. Kama moyo wako umechoka kupenda upe break, ukikutana na the right person utasahau yote yaliyopita.

Asante
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom