Yaani nimetoka kuachana na mwanamke wa 2 juzi baada ya kuniletea hizo story za NO SEX B4 MARRIAGE.. Yaani kwa karne hii ambayo wanawake wanaenda hospital mara nyingi kutoa mimba kuliko wanavyoenda kupima Malaria afu demu nimkubalie tu hiyo kauli yake thubutu.... Mie nakuacha hapo hapo on the spot ukinianzishia hizo story za kipuuzi