Penelope
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 713
- 643
Ivi jamani juzi nlikua kwenye saluni fulani hivi,basi akaingia mdada hapo anauza vitu vilivosagwa akasema matumizi yake unaeka kuongezea mnato huko kwa kina dada eti,,,nasikia mwanaume akizama huko na nyumbani kwake anaeza akahama na kama ni mume basi full kukuganda....Jamani ee Do we have to go this far?