Hii statement waha hawawezi kuelewa! wasukuma wao wanazaa kwa mipango mahususi
Wakiume ni cheap labour
Wakike wataolewa wazee wapate ng'ombe a.k.a utajiri😀😀😀😀
Masikini wa mjini kuzaa ni kujiongezea matatizo!
Nianze kwa kusema Watoto si Baraka, Watoto ni Gharama.
Kabla hujafikiria kuleta kiumbe kwenye hii dunia tambua hili mapema.
Kabla ya kufikiria kuzaa watoto hapa duniani, Kaa chini wewe na mwenza wako mpange kabisa namna mtakavyo lea na kuhudumia watoto wenu hadi watakapo fika umri wa kujitegemea.
Kuna maelfu ya watoto maskini wanateseka sana hapa duniani kutokana na ujinga, uzembe na upumbavu wa wazazi wanao zaa hovyo hovyo kama mapanya bila malengo wala uwezo wa kutoa huduma na malezi.
Na hili ni janga kubwa sana kwa nchi maskini hasa barani Afrika.
Hii statement waha hawawezi kuelewa! wasukuma wao wanazaa kwa mipango mahususi
Wakiume ni cheap labour
Wakike wataolewa wazee wapate ng'ombe a.k.a utajiri😀😀😀😀
Masikini wa mjini kuzaa ni kujiongezea matatizo!