Mapenzi hayana mwenyewe

Mapenzi hayana mwenyewe

hopemama

Member
Joined
Oct 11, 2014
Posts
33
Reaction score
5
Ni mwaka wapili now toka tuachane na mpenzi wangu but nashindwa kumsahau.Kunakipindi nilimpotezea kabisa nisimkumbuke coz ananitesa sana moyoni but nmeshindwa.

Alinambia amenisameee but hatuweza rudiana tena but huwa ananipigia cmu kunisalimia na ndo ananifanye nimkumbuke zaid.je nifanyeje may b nimsahau kabsaaa, japokuwa inanipain sana.
 
Get a life. Get busy.
Una hela? Kama huna hela chakarika ujiongeze, achana na mambo ya kumuwaza mtoto wa mtu. Nenda shule, get a new job. Kiufupi get a life manake umeshamgeuza yeye kuwa maisha yako
 
Huna kazi na unashinda lose lose sana thats why, wanasema idle mind is the workshop of devel, ukiwa busy na pia hata kupenda michezo pamoja na kujichanganya na marafiki kwa story za msisha ama utani it gonna work out right
 
tongoza mwingine mbona wanawake wako wengi sana....kuwa kama mimi nikiachana na mtuu baada ya siku tatu nishapata mwingine dunia ya leo na wanawake wa kibongo ukiwa unawawaza sana utakonda bure na wenyew watakuwa wananenepa tuuuu tongoza mwingine mkuu achana naye huyo
 
wewe ni ke au me!!!

kuna binti mmoja alinipenda sana ila tulitengana lakini huwa tunasalimiana kwa simu tu!!
kwa uandishi huu nahisi ni yeye
 
Jaribu kuwa na marafiki wengi zaidi wa kiume (Simanishi wapenzi), kuwa nao "Busy" kati yao lazima kuna mmoja atakusahaulisha tu na utakuwa safi.
 
wewe ni ke au me!!!

kuna binti mmoja alinipenda sana ila tulitengana lakini huwa tunasalimiana kwa simu tu!!
kwa uandishi huu nahisi ni yeye
wewe ulimuacha au yeye ndiye aliyekuacha? au kwanin mliachana?sory kwa swali
 
wewe ni ke au me!!!

kuna binti mmoja alinipenda sana ila tulitengana lakini huwa tunasalimiana kwa simu tu!!
kwa uandishi huu nahisi ni yeye
wewe ulimuacha au yeye ndiye aliyekuacha? au kwanin mliachana?sory kwa swali
 
Get a life. Get busy.
Una hela? Kama huna hela chakarika ujiongeze, achana na mambo ya kumuwaza mtoto wa mtu. Nenda shule, get a new job. Kiufupi get a life manake umeshamgeuza yeye kuwa maisha yako

Si kirahic kama unavyofikiriaa ww........!!
 
tongoza mwingine mbona wanawake wako wengi sana....kuwa kama mimi nikiachana na mtuu baada ya siku tatu nishapata mwingine dunia ya leo na wanawake wa kibongo ukiwa unawawaza sana utakonda bure na wenyew watakuwa wananenepa tuuuu tongoza mwingine mkuu achana naye huyo

Huyu n mwanamke mkuu anayeomba ushauri
 
Hahaha ukubwa dawa.
Mzima lakini kaka? Hebu nidokeze why haukumpenda kwa kadri ya alivyokupenda?
wewe ni ke au me!!!

kuna binti mmoja alinipenda sana ila tulitengana lakini huwa tunasalimiana kwa simu tu!!
kwa uandishi huu nahisi ni yeye
 
Unajua kikawaida mtu akikuambia jambo haliwezekani anajiongelea nafsi yake. Nami nayaka kukuaminisha inawezekana kabisa na ikawa rahisi tu.

Si kirahic kama unavyofikiriaa ww........!!
 

Attachments

  • 1430037186700.jpg
    1430037186700.jpg
    40.9 KB · Views: 471
wewe ni ke au me!!!

kuna binti mmoja alinipenda sana ila tulitengana lakini huwa tunasalimiana kwa simu tu!!
kwa uandishi huu nahisi ni yeye
wewe ulimuacha au yeye ndiye aliyekuacha? au kwanin mliachana?sory kwa swali
 
tongoza mwingine mbona wanawake wako wengi sana....kuwa kama mimi nikiachana na mtuu baada ya siku tatu nishapata mwingine dunia ya leo na wanawake wa kibongo ukiwa unawawaza sana utakonda bure na wenyew watakuwa wananenepa tuuuu tongoza mwingine mkuu achana naye huyo[/QUOTE
cwez kutongoza coz mi ni ke
 
Waswahili wanasema usimuandalie mtu mazingira ya kumfumania ilhali bado unampenda. Ndio maana wazee wetu zamani wakitoka matembezini usiku wanapiga kelele mtaa mzima. Ile ni ishara kama umo ndani chomoka fasta mwenye nyumba nakuja kwangu.

Sasa hopemama umemtosa jamaa ikiwa bado unamuhitaji. Cha msingu fuata tu maushauri huko juu kwamba jishughulishe kwa sana hayo yote utayasahau, usihe rudi hapa na kuanza kujuta kwanini umemrudia.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom