Mapenzi gani haya?


Huko ni kushindwa kujisimamia kifikra!!.Halafu hii tabia ya uasherati bila hata aibu vijana inawangamiza. (Mith 6:32)
 
ila huyo Mkagua hesabu hana lengo nae baadae THATS Y
 
That we may call it "misuse of our forums"

Tunamaliziana Mb tu.
 
Kama amekuambia anamtu ina maana wewe ni spea tyre maana main tyre iko busy
 
Bro pole sana ila jua kuwa
Haitatokea kamwe paka na panya wakatumia bakuli moja la maziwa
 
Mwambie na wewe ni MKAGUZI WA STADI ZA KAZI wa kijiji flani ila huwa uko available sana tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…