Contraband
JF-Expert Member
- Nov 14, 2021
- 1,042
- 2,845
KENZY hamenichekesha sana. Sijuhi huwa hanawazaga nini haisee...Kenzy una nini wewe
KENZY hamenichekesha sana. Sijuhi huwa hanawazaga nini haisee...Kenzy una nini wewe
😅😅Mkuhu hujaheka sana kama miheeee![]()
Mkuhu huyu jamaha anastahili tuzo. Hanajuhaga kufanya tahiming..
🤣🤣🤣🤣 Huko sahihi mkuhuu.Siho tuhzo tuhu mkuhu
Hana kinafahsi chakhe mbinghuni heti jhamani
Huko sahihi mkuhuu.
Sawa mkuhu, tukijahaliwa...Nahomba nilalhe hili jambho tutahongeha keshho na kenzhyiii
Huyo Binti mbona anaonekana anatoka makabila 2 tofauti?Ivi huyu demu ipo siku atanikubali uyu
Maana marafiki naona wanataka mimi nizidi kuzaraulika eti ni kaze puti tu ipo siku mtoto atahingia ndani
Nilihanza 2019 mpaka sasa mtoto ana nipiga chini
Ki ukweli mtoto na mpenda ila kajeuri kinoma
Wakubwa uyu kweli atanipendaga?
Kwa style ya maneno hayaView attachment 2048849View attachment 2048850
Demu akisha kupa no yake ya cm tayari kakukubali 20%,Sasa ukimtumia sms akijibu jibu lolote liwe baya ama zuri hapo tayari zingine 20%,inakuwa 40% na zilizo Baki n ww ushapu wako tu ss.Ivi huyu demu ipo siku atanikubali uyu
Maana marafiki naona wanataka mimi nizidi kuzaraulika eti ni kaze puti tu ipo siku mtoto atahingia ndani
Nilihanza 2019 mpaka sasa mtoto ana nipiga chini
Ki ukweli mtoto na mpenda ila kajeuri kinoma
Wakubwa uyu kweli atanipendaga?
Kwa style ya maneno hayaView attachment 2048849View attachment 2048850
Sio Mtzhuyu hata kuandika hajui![]()
Hajui kuandika, yeye na mtongozwaji. Kwako GentaTupate Wadhamini Wetu Toka Studio
Wakati Unafanya Masahihisho Kwenye Andiko Lako
Kiswahili Ni Lugha Tamu Na Adhimu
Ipe Heshma Kwa Kuandika Vizuri
Siho tuhzo tuhu mkuhu
Hana kinafahsi chakhe mbinghuni heti jhamani
😂😂😂Sawa mkuhu, tukijahaliwa...
Mkuhuu hata mihe nimehona akomahe tu!!Nikusihi tu kwa huyo demu komaa maana mnafanana mihandiko na hakili zenyu zipo sahawa!.
Huyo ndo mkeho wa ndoha nawatakiha kila laheli na maisha yawanyohokee.

![]()
Aisee nyie ndo mmenichekesha sasa tafikiri mnakula mna ubwabwa wamoto mdomoni..!
Nanyi pia mnavinafasi vyenu mbinghuni..![]()


wewe ndio ulianzisha yote hayaDunia ya sasa hata usipoenda shule utajifunza kupitia wengineShule angemaliza la tatu c basi angejua hata kuandika.
Nilichokigundua hapa ndege wafananao...........
Haha! Sawa bibie.wewe ndio ulianzisha yote haya
Sisi tumefata tuu so nafasi yako mbinguni iko pale pale
😊😊😊😊😊Dunia ya sasa hata usipoenda shule utajifunza kupitia wengine
Silazima shule
Mimi nilijifundisha kusoma hakuna Mwalimu amewahi nifundisha kusoma
Nakumbuka nilimuomba dogo mmoja hivi kitabu chake Cha alfabeti yaani kile Cha a e i o u na nikaanza kusoma baadhi ya misamiati
Mf fyeka,Lima, kula hiyo ndiyo ikawa nitolee mkuu