elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,260
- 9,743
Nina gal aliemaliza kidato cha4 nilitoka nae mara1 tu akaniomba namba ya cm, ilahal nilimjuza kuwa nina mke na familia, amekuwa akinisumbua sana kutaka mapenz na mim ila mi stak, sasa amefika mahal ananitishia kuniua/kafara coz antaka penz lang, advise me pliz pipoz?
Mbona imekaa kifacebook facebook, yani wewe mpaka umekuwa na mke ina maana ni mtu mwenye uelewa mkubwa msichana mdogo aliyemaliza kidato cha nne hawezi kukusumbua.
Simba atatishwa vipi na kuku hii si sawa na jeshi litishwe na mgambo