mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,334
- 12,466
Habari za muda huu
Baada ya kuchoshwa na kunyanyaswa sana na Yanga naomba viongozi wa Simba wafanye maboresho kama wachezaji 6 hivi tu.(Tusifumue kikosi chote tutapotea zaidi)
1.Quality Golie awe namba mbili ili kumpa changamoto Camara aasiwe anajisahau
2.Lusajo mwaikenda akamchalange kapombe na kumpunguzia majukumu
3.Kitasa ya maana yenye Nguvu maarifa na speed ya maana
4.Central midfield moja anaejielewa achukue nafasi ya okejefa
5.Atacking midfield mwenye Kasi na speed+Quality kumchalange Jean Ahoua(akiwa Moriss Abraham itakuwa sio mbaya ila sio suluhu)
6.Streka wa maana..
Wachezaji wa kuondoka
1.Manula
2.Husen Abel
3.Kijiri
4.Husen kazi
5.Omar Omar
6.Okejefa
7.Balua
NB,,hawa akina Ateba,Ahoua na Ngoma wakiongezewa ushindani wataimprove
Baada ya kuchoshwa na kunyanyaswa sana na Yanga naomba viongozi wa Simba wafanye maboresho kama wachezaji 6 hivi tu.(Tusifumue kikosi chote tutapotea zaidi)
1.Quality Golie awe namba mbili ili kumpa changamoto Camara aasiwe anajisahau
2.Lusajo mwaikenda akamchalange kapombe na kumpunguzia majukumu
3.Kitasa ya maana yenye Nguvu maarifa na speed ya maana
4.Central midfield moja anaejielewa achukue nafasi ya okejefa
5.Atacking midfield mwenye Kasi na speed+Quality kumchalange Jean Ahoua(akiwa Moriss Abraham itakuwa sio mbaya ila sio suluhu)
6.Streka wa maana..
Wachezaji wa kuondoka
1.Manula
2.Husen Abel
3.Kijiri
4.Husen kazi
5.Omar Omar
6.Okejefa
7.Balua
NB,,hawa akina Ateba,Ahoua na Ngoma wakiongezewa ushindani wataimprove