Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 2,610
- 4,327
Napendekeza Mamlaka ya Mapato waweke kikokotoo rahisi kwa walipa kodi kukielewa.
Mfano: Kuingiza gari (waweke categories kama tano tu hivi na bei yake ambayo itajumuisha kodi zote za serikali.
Labda kibaki malipo ya clearance agent peke yake na hata ikibidi na yeye ajumlishwe
Mfano: Ukiandika tu:
Toyota premio, cc 1450, mwaka 2007- ije bei 5,500,000 (all inclusive)
Nissan extrai cc 1990, mwaka 2005 ije bei 7200,000 (all inclusive)
Haya mambo ya kulipa kodi sijui sita? thus; baada ya kulipa main taxi ya serikali, bado unaambiwa tena ulipe, shipping line, port charge, wharf ace, car & plate number; naona hiyo ni kuongeza mlolongo na hivyo kuchangia upotevu wa pesa.
Kwanini wasijumlishe zoote halafu mtu akilipa inajigawa automatically kila moja inaenda account yake? Au hatuna wataalam wa kutengeneza hiyo program rahisi?
Ili kodi ilipwe vizuri, kunatakiwa kuwe na mfumo mzuri, rahisi na wawazi kwa walipa kodi
Mfano: Kuingiza gari (waweke categories kama tano tu hivi na bei yake ambayo itajumuisha kodi zote za serikali.
Labda kibaki malipo ya clearance agent peke yake na hata ikibidi na yeye ajumlishwe
Mfano: Ukiandika tu:
Toyota premio, cc 1450, mwaka 2007- ije bei 5,500,000 (all inclusive)
Nissan extrai cc 1990, mwaka 2005 ije bei 7200,000 (all inclusive)
Haya mambo ya kulipa kodi sijui sita? thus; baada ya kulipa main taxi ya serikali, bado unaambiwa tena ulipe, shipping line, port charge, wharf ace, car & plate number; naona hiyo ni kuongeza mlolongo na hivyo kuchangia upotevu wa pesa.
Kwanini wasijumlishe zoote halafu mtu akilipa inajigawa automatically kila moja inaenda account yake? Au hatuna wataalam wa kutengeneza hiyo program rahisi?
Ili kodi ilipwe vizuri, kunatakiwa kuwe na mfumo mzuri, rahisi na wawazi kwa walipa kodi