Mapendekezo ya sheria mpya

Hatumchagui mtu kwa kabila lake ,rangi wala dini yake. Kama ana sifa ruksa, hao watu kuchaguliwa kwao ni kutokana na kura za Uvccm, hakuna uteuzi uliofanyika hapo. Mkuu angalia dhambi ya ubinafsi na ubaguzi inakuzunguka.
 
I concur!! Na makofi juu(claps not slaps)
 
Uteuzi wa General Mabeyo hauhusiani na upuuzi unaotajwa/unaosemwa.....isipokuwa ni kweli walikuwepo Senior Generals kwa Mabeyo...wao walipewa ubalozi
Ebu tutajie hao seniors wa Mabeyo, utasaidia sana. Usije ukachanganya na polisi
 
Rais ukishaguliwa usiwe na mamlaka ya kuteua yeyote. Itakuwepo mamlaka ya kukuchagulia wasaidizi wako baasi> SO SELFISH!! khaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!! hadi kutapika rubbish
 
Duh. Yaani hawa jamaa wa propaganda wanavyopigia kelele na kuyakuza mambo ya uzushi hadi inasikitisha. Kwa akili zao hizi sishangai wanavyoshindwa kuyaona mapungufu makubwa ya chama chao!!
 
Thats nosense

Hujui hata maana ya kusema

Watu wote wana haki mbele ya sheria

(Equality before the law, that is a contitutional right)

huwezi hata siku moja ukatunga sheria ya kubagua watu

for sure your mind had gotta a serious P.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…