Habari,
Jiji la Dar es salaam linakuwa na kutanuka kwa kasi sana. Lakini kuna maeneo yamefikiwa na barabara lakini hakuna huduma za usafiri wa Umma kuyafikia maeneo hayo.
Nimewahi kupendekeza ruti kadhaa huko awali na zikafanyiwa kazi hivyo napata hamasa ya kupendekeza nyingine kwa imani kuwa zitakuwa msaada kwa wakazi wa maeneo hayo.
1. Bunju-Kariakoo(Magari Makubwa)
2. Bunju-Posta(Magari Makubwa)
3. Madale-Makumbusho(kupitia makongo juu)
4. Kawe-Kimara(kupitia njia nne, matosa)
5. Mawasiliano-Kinyerezi/Segerea( kupitia Kimara, Bonyokwa)
6.Madele-Makumbusho(kupitia Tegeta kibaoni) hii ilikuwepo lakini sijajua kilichoiua.
Kwasababu kuna kituo kipya Mwenge kikianza baadhi ya ruti zinaweza kuanzia hapo pia. Hii itapunguza usumbufu na gharama kwa wananchi.
Jiji la Dar es salaam linakuwa na kutanuka kwa kasi sana. Lakini kuna maeneo yamefikiwa na barabara lakini hakuna huduma za usafiri wa Umma kuyafikia maeneo hayo.
Nimewahi kupendekeza ruti kadhaa huko awali na zikafanyiwa kazi hivyo napata hamasa ya kupendekeza nyingine kwa imani kuwa zitakuwa msaada kwa wakazi wa maeneo hayo.
1. Bunju-Kariakoo(Magari Makubwa)
2. Bunju-Posta(Magari Makubwa)
3. Madale-Makumbusho(kupitia makongo juu)
4. Kawe-Kimara(kupitia njia nne, matosa)
5. Mawasiliano-Kinyerezi/Segerea( kupitia Kimara, Bonyokwa)
6.Madele-Makumbusho(kupitia Tegeta kibaoni) hii ilikuwepo lakini sijajua kilichoiua.
Kwasababu kuna kituo kipya Mwenge kikianza baadhi ya ruti zinaweza kuanzia hapo pia. Hii itapunguza usumbufu na gharama kwa wananchi.