Mapendekezo ya 'Ruti' mpya Dar

Mapendekezo ya 'Ruti' mpya Dar

kwa sasa hamna maeneo ya dar yenye changamoto za usafiri kama ubungo watu wengi lakini barabara zote ni za vumbi
Yeah, wilaya ya ubungo ni majanga kwa kweli. Serikali ingeona umuhimu wa kujenga miundombinu ya ubungo.
 
tena kwa hali ya dharura
Manake ukiacha huko Sinza ambapo lami ilikuwepo mda, sehemu zingine zote hakuna lami. Goba Road, Wazo Road, morogoro Road na kinyerezi Road tu. Kuna maeneo mengi yanahitaji miundombinu. Nilienda Kijichi nikaona walivyopendezesha mji, kila mtaa ni lami.
 
Manake ukiacha huko Sinza ambapo lami ilikuwepo mda, sehemu zingine zote hakuna lami. Goba Road, Wazo Road, morogoro Road na kinyerezi Road tu. Kuna maeneo mengi yanahitaji miundombinu. Nilienda Kijichi nikaona walivyopendezesha mji, kila mtaa ni lami.
sijui pande hizi tulikosea wapi, na mbunge tunaye
 
Hili swala wahusika wapo humu tunaomba walifanyie kazi. Fikiria watu wanaoishi maeneo ya Goba akitaka kwenda msasani anatumia magari matatu. Yani goba makumbusho, makumbusho morocco, afu ndo wapate la kwenda msasani. Kwa wanaoishi madale ndo wanatumia magari manne kabisa
madale-nyuki, nyuki-morocco, morocco msasani. La nne lipi ndugu muongo!
 
Habari,

Jiji la Dar es salaam linakuwa na kutanuka kwa kasi sana. Lakini kuna maeneo yamefikiwa na barabara lakini hakuna huduma za usafiri wa Umma kuyafikia maeneo hayo.

Nimewahi kupendekeza ruti kadhaa huko awali na zikafanyiwa kazi hivyo napata hamasa ya kupendekeza nyingine kwa imani kuwa zitakuwa msaada kwa wakazi wa maeneo hayo.
1. Bunju-Kariakoo(Magari Makubwa)
2. Bunju-Posta(Magari Makubwa)
3. Madale-Makumbusho(kupitia makongo juu)
4. Kawe-Kimara(kupitia njia nne, matosa)
5. Mawasiliano-Kinyerezi/Segerea( kupitia Kimara, Bonyokwa)
6.Madele-Makumbusho(kupitia Tegeta kibaoni) hii ilikuwepo lakini sijajua kilichoiua.

Kwasababu kuna kituo kipya Mwenge kikianza baadhi ya ruti zinaweza kuanzia hapo pia. Hii itapunguza usumbufu na gharama kwa wananchi.
1 na 2 Muhimu sana maana watu wanaenda kuunganisha safari Azania au Tegeta kwa ndevu, hvyo kupata gari ya moja kwa moja itakua poa

Madale makumbusho zilikuwepo

Hiyo njia ya kupitia kinyerezi/ segerea bonyokwa kimara, itaua watu, kwanza jinsi ya barabara yenyewe ilivyo ina milima mikali sana haswa hiki kipande cha kujia kimara kutoka bonyokwa, magari mengi si mazima pia hata madereva ni hovyo sana wataua wao

Njia nne to kimara via matosa nayo ina milima iliyo simamia kucha sana pia barabara hii na hiyo ya kimara to bonyokwa nadhani mpaka njia panda segerea/kinyerezi ni rough road

Madale makumbusho zilikuwepo ila kazi ni asubuhi kupeleka watu na jioni kuwarudisha mchana kazi hamna pia route ya tegeta-nyuki_ mbezi ndio imeua kabisa
 
Habari,

Jiji la Dar es salaam linakuwa na kutanuka kwa kasi sana. Lakini kuna maeneo yamefikiwa na barabara lakini hakuna huduma za usafiri wa Umma kuyafikia maeneo hayo.

Nimewahi kupendekeza ruti kadhaa huko awali na zikafanyiwa kazi hivyo napata hamasa ya kupendekeza nyingine kwa imani kuwa zitakuwa msaada kwa wakazi wa maeneo hayo.
1. Bunju-Kariakoo(Magari Makubwa)
2. Bunju-Posta(Magari Makubwa)
3. Madale-Makumbusho(kupitia makongo juu)
4. Kawe-Kimara(kupitia njia nne, matosa)
5. Mawasiliano-Kinyerezi/Segerea( kupitia Kimara, Bonyokwa)
6.Madele-Makumbusho(kupitia Tegeta kibaoni) hii ilikuwepo lakini sijajua kilichoiua.

Kwasababu kuna kituo kipya Mwenge kikianza baadhi ya ruti zinaweza kuanzia hapo pia. Hii itapunguza usumbufu na gharama kwa wananchi.
Wazo zuri sana na litakuwa msaada mkubwa kwa wananchi wa maeneo hayo, Ila kuna changamoto za aina mbili hapo, ya kwanza ni ubovu wa hizo barabara mfano wa njia nne kimara na kupitia bonyokwa,
 
1. Bunju-Kariakoo(Magari Makubwa)
2. Bunju-Posta(Magari Makubwa)
3. Madale-Makumbusho(kupitia makongo juu)
4. Kawe-Kimara(kupitia njia nne, matosa)
5. Mawasiliano-Kinyerezi/Segerea( kupitia Kimara, Bonyokwa)
6.Madele-Makumbusho(kupitia Tegeta kibaoni) hii ilikuwepo lakini sijajua kilichoiua.
Mawazo mazuri kabisa ila tatizo ni hao wenye kupanga hizo route ndiyo wanufaika wa adha mnazopata sasa, wangekuwa wanasafiri kwa usafiri wa public wangeyaona hayo matatizo siku nyingi na kuyatafutia ufumbuzi wa haraka
 
Habari,

Jiji la Dar es salaam linakuwa na kutanuka kwa kasi sana. Lakini kuna maeneo yamefikiwa na barabara lakini hakuna huduma za usafiri wa Umma kuyafikia maeneo hayo.

Nimewahi kupendekeza ruti kadhaa huko awali na zikafanyiwa kazi hivyo napata hamasa ya kupendekeza nyingine kwa imani kuwa zitakuwa msaada kwa wakazi wa maeneo hayo.
1. Bunju-Kariakoo(Magari Makubwa)
2. Bunju-Posta(Magari Makubwa)
3. Madale-Makumbusho(kupitia makongo juu)
4. Kawe-Kimara(kupitia njia nne, matosa)
5. Mawasiliano-Kinyerezi/Segerea( kupitia Kimara, Bonyokwa)
6.Madele-Makumbusho(kupitia Tegeta kibaoni) hii ilikuwepo lakini sijajua kilichoiua.

Kwasababu kuna kituo kipya Mwenge kikianza baadhi ya ruti zinaweza kuanzia hapo pia. Hii itapunguza usumbufu na gharama kwa wananchi.
Weka Bunju --- Kigamboni kupitia Daraja la Mwalimu Nyerere!!
 
Hakuna Boss atapeleka gari sehemu ya mbali afu abiria hakuna.

Bunju KKOO hiyo ruti hautatokea sababu ni mbali sana
 
Uko sahihi kabisa Chanika -Posta hii ianze hata kesho ziwepo tata kama 20 zitasaidia tena ziende hadi kivukoni na Chanika -Mawasiliano yani hii ianze Leo jioni ya Chanika Mbezi nayo ianze kesho asubuhi
Chanika mawasiliano mbona zipo.

Zimeandikwa BY/SOKONI - SIMU2000
 
1 na 2 Muhimu sana maana watu wanaenda kuunganisha safari Azania au Tegeta kwa ndevu, hvyo kupata gari ya moja kwa moja itakua poa

Madale makumbusho zilikuwepo

Hiyo njia ya kupitia kinyerezi/ segerea bonyokwa kimara, itaua watu, kwanza jinsi ya barabara yenyewe ilivyo ina milima mikali sana haswa hiki kipande cha kujia kimara kutoka bonyokwa, magari mengi si mazima pia hata madereva ni hovyo sana wataua wao

Njia nne to kimara via matosa nayo ina milima iliyo simamia kucha sana pia barabara hii na hiyo ya kimara to bonyokwa nadhani mpaka njia panda segerea/kinyerezi ni rough road

Madale makumbusho zilikuwepo ila kazi ni asubuhi kupeleka watu na jioni kuwarudisha mchana kazi hamna pia route ya tegeta-nyuki_ mbezi ndio imeua kabisa
Tegeta-Kimara via njia nne kupitia temboni njia ni nzuri kabisa.
 
Back
Top Bottom