GODZILLA
JF-Expert Member
- Dec 26, 2014
- 5,902
- 10,503
Mbali na jitihada za nchi kuhakikisha uandikishaji mkubwa wa wanafunzi mashuleni, ujenzi wa miundombinu ya shule, na mambo mengine mengi, yafuatayo ni baadhi ya mapendekezo ya kuboresha elimu:
1.Kupunguza maudhui yaliyomo kwenye silabasi
Nimefuatilia maudhui yaliyomo kwenye masomo ya wanafunzi wa shule ya msingi na sekondari, mengi hayana umuhimu wala hayana relevance kwa nyakati zetu hizi.
Mambo kama miaka ya matukio, sijui kinjektile alifia bwawa gani, au mgunduzi wa mto nile anaitwa nani. Hayo maudhui sidhani kama yana tija yoyote.
Badala yake, mitaala na silabasi zijikite kutoa maudhui ambayo ni ya msingi mno (fundamentals). Vitu ambavyo ni very basic, short and understandable.
Hii itawafanya wanafunzi wasiwe makasuku wa kukariri miaka na mambo yasiyo na relevance.
Masomo kama historia, maarifa ya jamii, jografia, na uraia yamejaa irrelevant na unnecessary contents. Punguzeni hayo matakataka hayana msaada wowote.
2. Mitihani itumike kupima uelewa na sio kupima uwezo wa kukariri
Nimefuatilia mitihani mingi ya shule za msingi ni kama inalenga kupima uwezo wa kumbukumbu badala ya uwezo wa kiakili na kuakisi yaliyofundishwa darasani
Mfano :
-Mkwawa alifariki mwaka gani!?
-Nyerere alienda london mwaka gani?
Na matakataka mengine ya aina hiyo!
Mitihani itumike kumuwezesha mwanafunzi kutoa fikra zake huru, ni nini anachofikiria kuhusu jambo husika pamoja na uhusiano wa maudhui hayo na maisha ya kila siku. Do not test their memory! Haina maana.
3. Mkazo Katika Kiswahili na Kiingereza
Lugha ni changamoto kubwa na inaonekana kuna uzembe wa namna ya kufundisha. Kuna watu wanafika mpaka university hawawezi kuandika wala kuongea Kiswahili kinachoeleweka. Kiingereza ni utata zaidi.
Kwa dunia ya leo, lugha ndio nyenzo ya survival. Tujikite kufundisha stadi za lugha mashuleni. Language is of essence.
Tofauti na hapo tutaandaa wanafunzi wasioweza hata kufikiri.
4. Masomo ya stadi za kujieleza yawekwe
Ukimsikiliza mtoto wa kizungu wa darasa la pili utagundua ana uwezo wa kujieleza kuliko PhD holder wa Tanzania.
Unaweza kuwa unajua mengi sana, lakini kama huwezi kujieleza utaishia kuonekana mjinga sana. Ndio maana wakenya wengi wanatupiku fursa nyingi za ajira.
Tofauti na uwezo wao la lugha, lakini ni watu waliojengwa katika kujiamini na kujieleza.
Teach students how to articulate themselves and be CONFIDENT. Huko mashuleni watoto wanakuwa abused hawaruhusiwi hata kujieleza. Wanatandikwa viboko tu.
Wanafunzi wafunzwe kujieleza na kujiamini. Ni bora zaidi kuliko kukariri principles za sijui newton law of motion.
5. Vitabu vya nyambari nyangwine vipigwe marufuku pamoja na past papers
Haya ndio hatari zaidi. Yanawafanya wanafunzi kuwa makasuku. Wanakariri tu mambo wasiyoyaelewa mradi wamefaulu mitihani.
Forced labour, land alienation, low WAGES. HAPANA. THAT'S NONSENSE.
6. Specialization ianze kidato cha kwanza kwenda juu
Wanafunzi wapewe maeneo yao ya kitaaluma. Wasilazimishwe kusoma kila kitu.
Hii ikianza kidato cha kwanza kwenda juu inaweza kuleta matokeo chanya. Basics za engeneering, ufundi umeme, civil engeneering, languages, ufundi mbali mbali, basics za kilimo cha kisasa, nk. Believe me, this will work out 100% perfect!
Na haya yote sio lazima yawe technical mathematics or technical physics. Tunahitaji ujuzi sio kukariri principles za hisabati.
Sio lazima watu wasome majitu meeengiii...halafu wote wanaishia kuwa wakosa ajira!
MUHIMU NA LA MWISHO, Punguzeni unnecessary contents kwenye masomo. Kuna matakataka mengi mno yaliyoko kwenye silabasi.
Ubora wa elimu sio kukariri miaka ya wafu na majina ya wagunduzi wa milima.
Jioni njema!
1.Kupunguza maudhui yaliyomo kwenye silabasi
Nimefuatilia maudhui yaliyomo kwenye masomo ya wanafunzi wa shule ya msingi na sekondari, mengi hayana umuhimu wala hayana relevance kwa nyakati zetu hizi.
Mambo kama miaka ya matukio, sijui kinjektile alifia bwawa gani, au mgunduzi wa mto nile anaitwa nani. Hayo maudhui sidhani kama yana tija yoyote.
Badala yake, mitaala na silabasi zijikite kutoa maudhui ambayo ni ya msingi mno (fundamentals). Vitu ambavyo ni very basic, short and understandable.
Hii itawafanya wanafunzi wasiwe makasuku wa kukariri miaka na mambo yasiyo na relevance.
Masomo kama historia, maarifa ya jamii, jografia, na uraia yamejaa irrelevant na unnecessary contents. Punguzeni hayo matakataka hayana msaada wowote.
2. Mitihani itumike kupima uelewa na sio kupima uwezo wa kukariri
Nimefuatilia mitihani mingi ya shule za msingi ni kama inalenga kupima uwezo wa kumbukumbu badala ya uwezo wa kiakili na kuakisi yaliyofundishwa darasani
Mfano :
-Mkwawa alifariki mwaka gani!?
-Nyerere alienda london mwaka gani?
Na matakataka mengine ya aina hiyo!
Mitihani itumike kumuwezesha mwanafunzi kutoa fikra zake huru, ni nini anachofikiria kuhusu jambo husika pamoja na uhusiano wa maudhui hayo na maisha ya kila siku. Do not test their memory! Haina maana.
3. Mkazo Katika Kiswahili na Kiingereza
Lugha ni changamoto kubwa na inaonekana kuna uzembe wa namna ya kufundisha. Kuna watu wanafika mpaka university hawawezi kuandika wala kuongea Kiswahili kinachoeleweka. Kiingereza ni utata zaidi.
Kwa dunia ya leo, lugha ndio nyenzo ya survival. Tujikite kufundisha stadi za lugha mashuleni. Language is of essence.
Tofauti na hapo tutaandaa wanafunzi wasioweza hata kufikiri.
4. Masomo ya stadi za kujieleza yawekwe
Ukimsikiliza mtoto wa kizungu wa darasa la pili utagundua ana uwezo wa kujieleza kuliko PhD holder wa Tanzania.
Unaweza kuwa unajua mengi sana, lakini kama huwezi kujieleza utaishia kuonekana mjinga sana. Ndio maana wakenya wengi wanatupiku fursa nyingi za ajira.
Tofauti na uwezo wao la lugha, lakini ni watu waliojengwa katika kujiamini na kujieleza.
Teach students how to articulate themselves and be CONFIDENT. Huko mashuleni watoto wanakuwa abused hawaruhusiwi hata kujieleza. Wanatandikwa viboko tu.
Wanafunzi wafunzwe kujieleza na kujiamini. Ni bora zaidi kuliko kukariri principles za sijui newton law of motion.
5. Vitabu vya nyambari nyangwine vipigwe marufuku pamoja na past papers
Haya ndio hatari zaidi. Yanawafanya wanafunzi kuwa makasuku. Wanakariri tu mambo wasiyoyaelewa mradi wamefaulu mitihani.
Forced labour, land alienation, low WAGES. HAPANA. THAT'S NONSENSE.
6. Specialization ianze kidato cha kwanza kwenda juu
Wanafunzi wapewe maeneo yao ya kitaaluma. Wasilazimishwe kusoma kila kitu.
Hii ikianza kidato cha kwanza kwenda juu inaweza kuleta matokeo chanya. Basics za engeneering, ufundi umeme, civil engeneering, languages, ufundi mbali mbali, basics za kilimo cha kisasa, nk. Believe me, this will work out 100% perfect!
Na haya yote sio lazima yawe technical mathematics or technical physics. Tunahitaji ujuzi sio kukariri principles za hisabati.
Sio lazima watu wasome majitu meeengiii...halafu wote wanaishia kuwa wakosa ajira!
MUHIMU NA LA MWISHO, Punguzeni unnecessary contents kwenye masomo. Kuna matakataka mengi mno yaliyoko kwenye silabasi.
Ubora wa elimu sio kukariri miaka ya wafu na majina ya wagunduzi wa milima.
Jioni njema!