Mapato ya TRA mwezi Juni yatashuka

Mkuu, hizo ni hisia zako tu ila ukweli unabaki kwamba TRA wanakusanya mapato kwa kuvuka malengo yao

Wewe ni zaidi ya Lusinde mpaka upewe ukuu wa wilaya ndio utatulia kiukweli mpaka sasa Jk uongozi wake ulikuwa upo vizuri kuliko huu
 
TRA ni wajanja wanaweka makadirio madogo ili waweze kuvuka makadirio yao.Ni kwanini makusanyo yanazidi kupungua mwezi baada ya mwezi? kama awatuhadai wangetakiwa waweke malengo makubwa kuliko mwezi wa mwisho kukusanya mapato.Mfano Mei wamekusanya trillion 1.02 malengo ya mwezi june yanatakiwa yazidi mapato ya mwezi may.
Lakini wanatuhadaa kwa kupunguza kiwango.
 
Kwani wewe unavyoelewa kuvuka malengo ni kupi? Nijuavyo mimi ni kwamba unavuka malengo pale ambapo umezidisha kile ulichojipangia. Kumbuka malengo ya TRA hayapangwi kienyeji kama mapato yenu pale Ufipa
Si kile atayepingana na wewe yuko Ufipa.

Hoja hapa wala siyo kuvuka malengo. Hata kama malengo yanapangwa kitaalamu(hilo linafaamika), hoja ni kwa mimi malengo yanazidi kudidimia?
 
Kama mwanzo ulikuwa na lengo la trilioni Moja nukta nne.....miezi sita iliyopita.....Leo unaweka lengo la trilioni moja....si umerudi nyuma? Na bado mteremko unaendelea
Huyo achana naye, si unaona alivyopaniki? Unafikiri atakujibu la maana.? Na hapa si ajabu yupo katika "ebigata" anakumywa "nkanja".
 
Si kile atayepingana na wewe yuko Ufipa.

Hoja hapa wala siyo kuvuka malengo. Hata kama malengo yanapangwa kitaalamu(hilo linafaamika), hoja ni kwa mimi malengo yanazidi kudidimia?
Swali Zuri kabisa ambalo analikwepa lizaboni
 
Reactions: Izc
Mwenyewe ukiuza, ukinunua hutoi wala hudai risiti, itapandaje kodi, wafanyabiashara wanaangalia upepo unaendaje. Kukaza kukiisha biashara imeisha
 
Si kile atayepingana na wewe yuko Ufipa.

Hoja hapa wala siyo kuvuka malengo. Hata kama malengo yanapangwa kitaalamu(hilo linafaamika), hoja ni kwa mimi malengo yanazidi kudidimia?
Yamekuwa kama ni pipa linalo vuja au taili lenye sloo pancha
 
Reactions: Izc
Yamekuwa kama ni pipa linalo vuja au taili lenye sloo pancha
Teh teh! Lumumba wenyewe walevi na mada hii imeletwa usiku sijui kama wataleta cha maana. Rutashobya ameamka kwenye usingizi wa lubisi na nkanja akaanza kutukana, lizaboni ndo kabisa aelewi.
 
CCM WANAHANYA SASA ETI HAPA KAZI WAKATI UONGOZI UMEWASHINDA HADI NJE INAONGOZWA KWA MAWAZO YA RAISI BILA KUFUATA KATIBA
 
Teh teh! Lumumba wenyewe walevi na mada hii imeletwa usiku sijui kama wataleta cha maana. Rutashobya ameamka kwenye usingizi wa lubisi na nkanja akaanza kutukana, lizaboni ndo kabisa aelewi.
Lizaboni keshapiga mataputapu yaani komoni sasa hivi yupo hoi
 
Reactions: Izc
Teh teh! Lumumba wenyewe walevi na mada hii imeletwa usiku sijui kama wataleta cha maana. Rutashobya ameamka kwenye usingizi wa lubisi na nkanja akaanza kutukana, lizaboni ndo kabisa aelewi.
Hahahaa Mkuu....wamekurupuka wako kit
 
Reactions: Izc
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…