Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,277
- 8,859
Serekali imeanzisha mpango wa fedha zote zinazokusanywa na halimashauri kupelekwa serekali kuu na baadae ndio zirejeshwe.
Huu mpango bado sijaelewa mantiki yake haswa, au ni kwasababu halimashauri zenye mapato makubwa zimeshikiliwa na UKAWA?
Na kama ndivyo, hii itakuwa kuleta siasa kwenye maisha ya watu.Ili kero za masikini zitatuliwe ni vema mapato ya halimashauri yabaki kwao na wazipangie mpango wenyewe, la sivyo tunarudi nyuma huku tukijipongeza.
Huu mpango bado sijaelewa mantiki yake haswa, au ni kwasababu halimashauri zenye mapato makubwa zimeshikiliwa na UKAWA?
Na kama ndivyo, hii itakuwa kuleta siasa kwenye maisha ya watu.Ili kero za masikini zitatuliwe ni vema mapato ya halimashauri yabaki kwao na wazipangie mpango wenyewe, la sivyo tunarudi nyuma huku tukijipongeza.