Maparachichi ya Tanzania yanavyouzwa nje ya nchi kwa kupewa uraia mpya

MAPARACHICHI YA TANZANIA YANAVYOUZWA NJE YA NCHI KWA KUPEWA URAIA MPYA

Si hivyo tu, bali wafanyabiashara nchini Tanzania wamekuwa wakiyauza bei kubwa maparachichi bora yaliyozalishwa nchini kwa kuwadanganya raia kwamba eti maparachichi hayo yanatoka Burundi.

Hali hiyo, haijaishia kwenye parachichi tu, ukitembea kwenye Soko la Sabasaba jijini Dodoma hususan kwenye majengo mazuri, utajionea mchele mzuri wa Tanzania umeandikwa Mchele wa Zambia.

Jambo jingine, Njombe imekuwa ikizalisha matofaha (apples/peasi) bora katika miaka ya hivi karibuni lakini wafanyabiashara huyachukuwa yale yenye ubora mkubwa na kuyaweka stickers kisha huzichanganya na apples zinazotoka Afrika Kusini na kuyauza matunda hayo kwa Watanzania kwa bei kubwa. Kwa wastani apple kubwa lenye ubora mkubwa linatoka katika mkoa Mkoa wa Njombe huuzwa kwa shilingi 300-500 lakini wafanyabiashara wakishayachanganya na apples za S.A huyauza kwa shilingi 1000.

Patrick Sanga,
Mkulima, Njombe
Suala hili ni pana sana.
Kwanza ni ile tabia ya watu hasa sisi Watanzania kupenda vitu vya nje yaani mind zetu zinaamini kuwa kinachotoka nje ndicho bora. Mtu tena Mtanzania anaenda supermarket anatafuta nyanya kutoka south Africa, akiona za Tanzania hata kama ni nzuri, lile neno kuwa ni za Tanzania linamfanya azione kuwa ni inferior, kwa hiyo mjasiriamali mzuri anakuja na market strategy - chukua mali ya Tanzania ipe label ya SA, the unafanya mauzo ya kutosha tena kwa bei kubwa (hiyo ndiyo hoja ya pili)
Ni kweli kimataifa haileti picha nzuri maana inaonekana kana kwamba Tanzania hatuzalishi kilicho bora, lakini kwa upande mwingine kwa kuwa kinachouzwa bado ni kile kilichozalishwa Tanzania, na kama ni mazao ya kilimo basi mkulima ananufaika
 
Nyie ni wajinga,kwanza hao wakenya wanasaidia wakulima kupata soko alafu wananunua kujazia pengo la kwao,kwa taarifa yako wanalima Sana tuu na ndio wamewafundisha wakulima kilimo cha parachichi.

Wasiponunua mtapeleka wapi sasa maana mpo badala ya kuchangamkia fursa mnapiga makelele na kulia Lia,hii nchi imejaa watu wajinga Sana walalamishi na wasio na suluhisho.
Usituite wajinga tusingelima,bora unyamaze kuliko huo uchangiaji wako,soma kichwa cha habari.
 
Ni ujinga na upumbavu uliokithiri kuamini serikali itawezesha exportation. Nitajieni bidhaa moja ya mfani imesimamiwa na serikali na kufanikiwa!
Ukifuatilia historia ya avocado, kenya wamenza kuzilima tangu miaka ya 60 , sisi tumeanza lini ?
Kenya wanamasoko mengi kuliko TZ ila hawawezi kutosheleza soko kao huko nje. Wanamkataba na China kupeleka tani zaidi ya laki moja.
Wana kampuni za kupack vizuri sisi ndio juzi Rungwe kampan tena wazungu ndio wameanza ku process na wana heka 800 tu.
BBC wamesema Nigeria na kenya ndio zina export kwa wingi na Nigeria wanataka kuongoza export in coming ten years.
BBC kuna mkulima wamemuhoji wa uganda ana hekta 1000+, ni mzawa gani Tanzania ana shamba kama hilo ? Wengi vieka viwili (subsistance farming! ), ikizi heka 100.
Kenya wakisusa kuja kununua parachichi kutatokea anguko la bei baya kabisa.
Watanzania tuache kuongea vitu kishabiki bali tutumie data.
Avocado ni biashara inayoendeshwa na makampuni serikali yetu haina mchango wowote wa maana, hivyo watu wanatakiwa waanzishe makampuni ya kusafirisha nje na si kuwazuia wakenya au wachina na wazungu.
Matajiri wa Tanzania waione avocado kama fursa na ikiwezekana waanzishe baadhi ya viwanda hapa hapa Tz ili zisafirishwe product za avocado na si avocado.
Narudia tena serikali haina mchango wowote bali demand ndio imelazimisha kukua kwa kilimo hicho, hawana msaada.
Wakulima wajitafutie masoko kama walivyofanya wakenya, hakuna mwanasiasa wa kukutafutia masoko, hayupo.
Naona wewe hujazunguka na wala hujui hicho kilimo hizo heka mbili unakisia,watu wana heka nyingi sana Nenda Njombe mkuu!
 
Hayo maparachichi nani alaumiwe kama siyo hao hao kina fudenge.

Kama nchi iteendelea kuwa na sera zake za hovyo, wacha yauzwe huko kwa jina la wakenya, bora wakulima wa Bongo wanaridhia.
Vyote tu kahawa wakauzie Uganda na Rwanda, Korosho wakauzie Msumbiji na Malawi, haina shida BORA mkulima apate bei, siyo porojo za AMCOS.

Everyday is Saturday............................... :cool:
 
Nyie ni wajinga,kwanza hao wakenya wanasaidia wakulima kupata soko alafu wananunua kujazia pengo la kwao,kwa taarifa yako wanalima Sana tuu na ndio wamewafundisha wakulima kilimo cha parachichi.

Wasiponunua mtapeleka wapi sasa maana mpo badala ya kuchangamkia fursa mnapiga makelele na kulia Lia,hii nchi imejaa watu wajinga Sana walalamishi na wasio na suluhisho.
Ukweli ndiyo huu, ila ni mchungu mithili ya shubiri. Mie hapa napaliwa huku chozi lanitoka.
Nafikiri ni sera za ujamaa kila kitu kufanywa na serikali huku tukibweteka.

Watanzania kwenye competition tumeshindwa, nafikiri tubakie tu kuchimba makinikia maana hapo tumewazidi majirani.

Everyday is Saturday.............................. :cool:
 
Ni ujinga na upumbavu uliokithiri kuamini serikali itawezesha exportation. Nitajieni bidhaa moja ya mfani imesimamiwa na serikali na kufanikiwa!
Ukifuatilia historia ya avocado, kenya wamenza kuzilima tangu miaka ya 60 , sisi tumeanza lini ?
Kenya wanamasoko mengi kuliko TZ ila hawawezi kutosheleza soko kao huko nje. Wanamkataba na China kupeleka tani zaidi ya laki moja.
Wana kampuni za kupack vizuri sisi ndio juzi Rungwe kampan tena wazungu ndio wameanza ku process na wana heka 800 tu.
BBC wamesema Nigeria na kenya ndio zina export kwa wingi na Nigeria wanataka kuongoza export in coming ten years.
BBC kuna mkulima wamemuhoji wa uganda ana hekta 1000+, ni mzawa gani Tanzania ana shamba kama hilo ? Wengi vieka viwili (subsistance farming! ), ikizi heka 100.
Kenya wakisusa kuja kununua parachichi kutatokea anguko la bei baya kabisa.
Watanzania tuache kuongea vitu kishabiki bali tutumie data.
Avocado ni biashara inayoendeshwa na makampuni serikali yetu haina mchango wowote wa maana, hivyo watu wanatakiwa waanzishe makampuni ya kusafirisha nje na si kuwazuia wakenya au wachina na wazungu.
Matajiri wa Tanzania waione avocado kama fursa na ikiwezekana waanzishe baadhi ya viwanda hapa hapa Tz ili zisafirishwe product za avocado na si avocado.
Narudia tena serikali haina mchango wowote bali demand ndio imelazimisha kukua kwa kilimo hicho, hawana msaada.
Wakulima wajitafutie masoko kama walivyofanya wakenya, hakuna mwanasiasa wa kukutafutia masoko, hayupo.
Asante ukweli lazima utufikie, serikali ya chama fulani haijawahi kumuwezesha mkulima wa avocado, bali imekaa pembeni kusubiria kujipa credit, shame!
Nakwambia utawaona wagombea urais 2025, kila mtu akijipendekeza huko.

Nakuambia sasa hivi wataingia.kivuruge na sera za lazima avocado ziuzwe kwa vyama vya ushirika, BORA tu kutimizia ilani. Rubbish nonsense! Bora tu, kukusanya hela, utasikia kodi ya wakala wa mizani, kodi wakala wa barabara, zilizotengenezwa na wakulima, kodi ya halmashauri, kodi ya kijiji, kodi ya ushirika..

Everyday is Saturday............................... :cool:
 
Hizo nyingine ni tamaa. Wametafuta soko la kuuza wao wakatafuta soko la kununua hayo matunda wao alafu wewe na akili mgando unataka utajwe kwenye nembo

It can't be aiseee

Kwanza watu wa njombe wakikusikia hawatakuelewa kabisa kwa namna wanavyopiga hela kule

Hizo tamaa mliziingiza kwenye korosho kilichotokea hakuna asiyejua.

Tujiandae, tutafute soko la kudumu, tuyapackage then tuyapeleke.

Hauwezi kupata maendeleo kwa kumuonea wivu jirani aliyefanikiwa. Sanasana utaishia kua na akili kama hizo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom