Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,580
- 23,914
bulumya londo, naomba labda unielimishe, hao wengi wanaoamini kwamba serikali mbili ndiyo bola (bora?) unawatoa wapi? Uliwahoji? Mimi najua iko Tume ilitembea nchi nzima mkoa hadi mkoa, wilaya hadi wilaya, kata hadi kata, kijiji hadi kijiji ikikusanya maoni ya wananchi. Je hao wa kwako uliwahoji lini na wapi?mbona nyie mlioona mfumo wa serikali tatu munajiimanisha kuwa ndiyo wananchi wa taifa hili kuliko wale ambao ndiyo wengi wanaoamini kwamba serikali mbili ndiyo bola?