Wabunge wengi wa CCM wanapenda Tanganyika irudi, Ila Vitisho na usalama wao vinawafanya kuufyata..
Hivi kwa nini CCM inalazimisha kura ya Wazi? Ni ili kuwabana wabunge wake....
CCM hakuna demokrasia, kuna ubabe na ukolimbalism....
Je mnakumbuka G55? si wanataka serikali ya Tanganyika? Si wapo mpaka leo, Kipi kimewabadilisha?
Kero za muungano tele na hakuna njia ya kutatua mpaka leo..... CCM wameshupaaa (by Prof. Palamagamba Kabudi)
Hivi kwa nini CCM inalazimisha kura ya Wazi? Ni ili kuwabana wabunge wake....
CCM hakuna demokrasia, kuna ubabe na ukolimbalism....
Je mnakumbuka G55? si wanataka serikali ya Tanganyika? Si wapo mpaka leo, Kipi kimewabadilisha?
Kero za muungano tele na hakuna njia ya kutatua mpaka leo..... CCM wameshupaaa (by Prof. Palamagamba Kabudi)