Hata angeleta nini upande huo hakuna siku mtaamini. Mleta mada unaweza kuendelea na shughuli zako asante kwa taarifa maana kila anayetaka kujua anajua TAARIFA hii nani kaitoa.Una uhakika? Embu leta vithibitisho mkuu watu waamini
Mapambo gharama kubwa kuliko majeneza. Balaa kubwa hili.
Jeneza la bei ya kawaida Arusha ni sh 250000Jeneza moja bei gab
nina mashaka sana na hizi gharama, wabunge wenyewe tu walijichanga na wakatoa rambirambi ya 100 milioni, yani tuseme nusu ya hela yote hiyo.. halafu tuambiwe kuwa jumla ni 200m tu ndo zimetolewa hadi kufikia jana....!Pamoja nayo msiba mzima uligharimu takribani karibia ml.200 ambazo zilitokana na michango ya wasamaria wema.
"Uongozi unaoacha alama"
Wizi wa rambirambi umekuwa fashion!kwa hiyo serikali ilikurupuka kuandaa mazishi bila ya kuwa na hela.....ikitegemea michango wa watu...
mbwembwe zote zile kumbe ilikuwa ni namna ya kutaka kuiba rambi rambi....aibu iliyoje...
Bajeti ya mazishi na sherehe za muungano kama vinaendana vile!